kimarabucha
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 791
- 621
Si ndio mpaka mleta mada alete hoja ya maana ndiyo anajibiwa na hoja za maana pia.Ingekua mtihani umejiongeza mtu katoa hoja mwngine jibu kwa hoja na ziwe na mashiko kama hii pongezi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
hii itasaidia sanaKam wanahitaj aongezwe muda wa utawala ,bac wafight katiba nyingine itengnezwe then waingize hoja ya yey kuongeza muda ikipita bac iwe km sehem ya katiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoteua mpinzani imeandikwa katika kipi katika katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?Aliwai kusema pia kwenye serkali yake hatateuwa mpizani sote tumeona akina mkumbo mimi ata simwamini uyu jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kuhusu Madj nao wapigwe marufuku? Maana hawa wanatekeleza kwa vitendo kabisa kuondoa vipengele vya ukomo wa madaraka katika katiba zao za vyama. Hawa wakiingia madarakani katiba ya nchi haitabaki salama.Mswada uende bungeni kupinga marufuku wabunge wa std 7 ni majanga! msikilize huyu na upuuzi wake, nenda msikilize na kibajaj yaani ni sheedah!
kama dereva anatakiwa awe form 4 kweli mbunge anaetunga sharia awe std 7?
Kwa hiyo katiba ikibadilishwa (katiba ikibadilishwa 2yrs kabla ya term yake kuisha ikaongeza mda wa uraisi) atabaki?Inaonyesha jinsi ulivyo shallow au haukumuelewa mzee Mwinyi, alisisitiza kabisa KAMA KATIBA ingeruhusu!!