Nafikiri hiyo inatokana na kutofuata sheriaKama kwa miaka mitano walikuwa wanashinda mahakama ya kisutu badala ya kuwatumikia wananchi,unategemea warudi?
Nafikiri hiyo inatokana na kutofuata sheriaKama kwa miaka mitano walikuwa wanashinda mahakama ya kisutu badala ya kuwatumikia wananchi,unategemea warudi?
"Waamuzi wa uchaguzi si wapiga kura bali wahesabu kura" Stalin, mtawala wa Soviet Union ya zama hizo. NEC au ZEC ikitangaza fulani ndiye rais, basi, ndiye hizi zama zetu!Wananchi ndio waamuzi.hofu ya nn
Thus nasema waamuzi ni wananchi Kama kuridhika kuchaguliwa na wahesabu kura au kutoridhika"Waamuzi wa uchaguzi si wapiga kura bali wahesabu kura" Stalin, mtawala wa Soviet Union ya zama hizo. NEC au ZEC ikitangaza fulani ndiye rais, basi, ndiye hizi zama zetu!
Unatisha! Umeelewa hiyo nukuu? Kujitoa ufahamu bure!Thus nasema waamuzi ni wananchi Kama kuridhika kuchaguliwa na wahesabu kura au kutoridhika
Kwa hiyo tunatarajia kugharamia hilo igizo la kufanya uchaguzi Huru na haki."Waamuzi wa uchaguzi si wapiga kura bali wahesabu kura" Stalin, mtawala wa Soviet Union ya zama hizo. NEC au ZEC ikitangaza fulani ndiye rais, basi, ndiye hizi zama zetu!
Wangetakiwa kufanya nini sasa kupata Katiba na Tume Huru ya Uchaguzi?Marufuku ya siasa,mikutano na maandamano iliatolewa mapema sana 2016,na tumeshuhudia wapinzani walivyofanyiwa hata walipokuwa na mikutano yao ya ndani.
Walitwezwa na vyombo vya dola hadharani,2017 pia tulishuhudia maajabu ya awamu ya tano,ndani ya viunga vya Bunge,mchana kweupe watu wasiojulikana walipofanya assassination na bado hakuna aliyetiwa nguvuni,wahusika wanadai wahanga ndiyo mashahidi,lakini Watanzania wapi kimya maana hayupo aliye salama hats sasa.
Tusiwalaumu wapinzani kwa hapa nchi hii ilikofikia,ni suala letu sote.Tuseme inatosha na tufanye maamuzi magumu na kuwakataa wakoloni weusi.Nafasi hiyo tunayo October 2020,tusikubali kuburuzwa.Nchi hii ni yetu sote.
Kipindi cha kwanza cha awamu ya tano kilivyokuwa kigumu,fikiria wanahitaji kurudi uongozini lakini hawatubembelezi ili tuwachague tena,tujiulize itakuwaje kipindi cha pili ambacho hawatakuwa na cha kupoteza?Watatukomesha,tutalimia meno had I tuwe vibogoyo.Ni hatari tupu.
Mimi napendekeza kuwa uchaguzi wa mwaka huu ugeuzwe kuwa fursa ya mapinduzi ndani ya nchi yetu. Wapinzani wa kweli ongozeni umma kwenye mapinduzi. Kwa kauli ya Magufuli ni kuwa watafanya kila litakalowezekana pasiwe na upinzani wa kweli mara baada ya uchaguzi.
Kitendo chochote cha kukosa haki ni lazima kikabiliwe na upinzani imara hata kama hiyo itabidi kufanya vurugu. Itisheni civil disobedience. Zile kauli za woga kwamba 'hatutaki kuingia ikulu kwa damu za watu' ziachwe kabisa, kwani sasa ni dhahiri kuwa haki haiwezi kutolewa bali itadaiwa.
Tujitayarishe kwa mapambano, na kwangu sioni mgombea wa urais anayeweza kuliongoza hili isipokuwa Mh Tundu Lissu. Mbowe ni kiongozi mzuri lakini ni soft sana, na mwoga. Nyalandu ndiyo kabisa hili haliwezi. Tujiandae kwa mapambano, wananchi wataunga mkono wakiona mko makini.
[/QUOTE
Namuona mzee aki set the stage for destruction