Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Nina uhakika wabunge wa CCM watarudi bungeni, lakini ambao hawatarejea tunashukuru kwa mchango wao

Vyama vya upinzani mmeona hicho kigongo kutoka kwa mshika dola?

Maneno haya aliyoyasema Rais yalipaswa yatolewe kwenye CCM campaign rally na siyo ndani ya chombo huru (at least kikatiba) kama bunge. Ana audacity ya kuonyesha upendeleo wa wazi kwa chama chake mahali ambapo si pake (bungeni) na yeye ni rais anayetakiwa kuwaunganisha watu wote hususani tunapoelekea kwenye uchaguzi.

Tukiingia kwenye uchaguzi bila ya kutengeneza mazingira ya uchaguzi huru na wa haki (hususani bila tume huru), si rahisi kwa wapiga kura wanaotaka upinzani ushike dola kushiriki kwenye uchaguzi ambao rais tayari keshatoa amri kwa vyombo vyenye wajibu wa kusimamia uchaguzi kuwa ni wabunge wa CCM pekee ndiyo watakaorejea bungeni.

Zitto Kabwe, John Mnyika na wengineo - you have the whole monster ahead of you to fry.

Wapinzani wako bize kumponda alafu mnadai yeye ajifanye yuko nyutro...
Tena kawaonea sana huruma, angewaambia kabisa HAMRUDI HAPA PIGA UA...
 
Laa! aise, kauli zinazofanana nazile za mwanzo bado zinatoka tu kuonyesha msisitizo.raia wametufanya wajinga kweli, yaani mtu aamke saa 12 anaenda kupiga kura, iwe kama kiini macho! wao sasa do wamekuwa wakutuchagulia, kwanin sasa watu wahangaike kipiga kura, yajayo naona hayafurahishi bali yanasikitisha,nasubili nione!
 
Mkuu Shetani hajawahi kumshinda Mungu mahali popote duniani , ondoa shaka
.
FB_IMG_15921513041021792.jpg
 
Kuna kila dalili hakuna uchaguzi huru na wa haki hata kwa asilimia 40!
raisi ameshapanga wa kurudi ni akina nani!
Ameshakuwa msemaji wa wapiga kura
Msemaji wa tume huru ya uchaguzi
Pia hata wapinzani wakishinda maana yake DED hakuna kuwatangaza tangaza wa ccm!
Hilo kwa kutumia people's power LAZIMA tulikatae. Hii nchi ni yetu wote.
 
Kitu kilichonifurahisha nikisoma maoni ya wabunge wa upinzani hasa Chadema wote wanajua mapambano ndio yanaenda kuanza, ukishajua adui yako ni nani, na anatumia mbinu gani vitani hiyo ni step ya kwanza nzuri kuelekea kwenye ushindi.

Aluta Continua.
 
Mh, nina wasiwasi sana. Dictators haveno mercy! Nimeishi wakati wa Idd Amin, , najua ninachokiongea! Unless external force imlazimishe kutenda haki, yeye mwenyewe hawezi!
Retired, don't retire on this! Mungu ana njia nyingi hata hiyo unayosema anaweza akaiamrisha yeye. Kumbuka kilichofanyika Zimbabwe. Smoothly. Au kwenye mkutano wake wa kwanza wa kampeni akakumbana na chango lililomwondoa Herode duniani. Nani alijua kuondoka kwa Nkurunziza kutakuwa kutokukabidhi ikulu kwa rais mteule. Mungu ni hatari. Hawahi wala hachelewi. Aishiye kwa upanga, hufa kwa huo. Every dog has its appointed day. Let's play cool. God is omniscient, omnipresent and omnipotent. Let everybody shout Ameeeen!
 
Wanao mpoteza ni wale wanao mfananishana yesu
Vyama vya upinzani mmeona hicho kigongo kutoka kwa mshika dola?

Maneno haya aliyoyasema Rais yalipaswa yatolewe kwenye CCM campaign rally na siyo ndani ya chombo huru (at least kikatiba) kama bunge. Ana audacity ya kuonyesha upendeleo wa wazi kwa chama chake mahali ambapo si pake (bungeni) na yeye ni rais anayetakiwa kuwaunganisha watu wote hususani tunapoelekea kwenye uchaguzi.

Tukiingia kwenye uchaguzi bila ya kutengeneza mazingira ya uchaguzi huru na wa haki (hususani bila tume huru), si rahisi kwa wapiga kura wanaotaka upinzani ushike dola kushiriki kwenye uchaguzi ambao rais tayari keshatoa amri kwa vyombo vyenye wajibu wa kusimamia uchaguzi kuwa ni wabunge wa CCM pekee ndiyo watakaorejea bungeni.

Zitto Kabwe, John Mnyika na wengineo - you have the whole monster ahead of you to fry.

 
Ndugu ukiwalaumu wapunzani sidhani kama utakuwa huwatendei haki.

Siasa za nchi hii unazijua fika, ebu angalia wale woote walio kuwa wana engineer hayo mabadiliko ya katiba leo hii wana kesi ngapi mahakamani?

1:Mbowe
2:Lisu
3:Mdee
4:Zitto
5:Msigwa
6:Lema
7:Sugu
7:Matiko

Ukifuatilia utagundua kuwa wabunge wote walio kuwa wana isumbua serikali wana kesi mahakamani au walisha hukumiwa kutumikia adhabu.

Niwachache sana ambao hawajagusa viunga vya mahakama
Wapinzani walikuwa na miaka 5 ya kutafuta katiba mpya yenye kuweka mazingira ya uchaguzi huru na wa haki. Tena hapo mwanzo 2016 walikuwa na Wabunge wengi sana na nguvu ya kutosha.

Lakini walitulia tuli baada ya kuambiwa huwa hakuna mikutano na maandamano. Kwa sasa it's too little too late. Siyo siri tena - Dikteta atawatoa wote Bungeni. Alikwishawatoa kwenye serikali za mitaa tayari.
 
Bila ushirikiano wa wananchi kwa nguvu zao kamwe hatuwezi kuipata to tume huru na hiyo kazi tukiwaaachia kina Mbowe na Lema tutakuwa tuna waonea tu
Wapinzani walikuwa na miaka 5 ya kutafuta katiba mpya yenye kuweka mazingira ya uchaguzi huru na wa haki. Tena hapo mwanzo 2016 walikuwa na Wabunge wengi sana na nguvu ya kutosha.

Lakini walitulia tuli baada ya kuambiwa huwa hakuna mikutano na maandamano. Kwa sasa it's too little too late. Siyo siri tena - Dikteta atawatoa wote Bungeni. Alikwishawatoa kwenye serikali za mitaa tayari.
 
Vyama vya upinzani mmeona hicho kigongo kutoka kwa mshika dola?

Maneno haya aliyoyasema Rais yalipaswa yatolewe kwenye CCM campaign rally na siyo ndani ya chombo huru (at least kikatiba) kama bunge. Ana audacity ya kuonyesha upendeleo wa wazi kwa chama chake mahali ambapo si pake (bungeni) na yeye ni rais anayetakiwa kuwaunganisha watu wote hususani tunapoelekea kwenye uchaguzi.

Tukiingia kwenye uchaguzi bila ya kutengeneza mazingira ya uchaguzi huru na wa haki (hususani bila tume huru), si rahisi kwa wapiga kura wanaotaka upinzani ushike dola kushiriki kwenye uchaguzi ambao rais tayari keshatoa amri kwa vyombo vyenye wajibu wa kusimamia uchaguzi kuwa ni wabunge wa CCM pekee ndiyo watakaorejea bungeni.

Zitto Kabwe, John Mnyika na wengineo - you have the whole monster ahead of you to fry.

Hilo ni taifa la wajinga hakuna la kufanya tulieni mnyolewe
 
Utakuwa uchaguzi huru na wa haki kama chaguzi nyingine zilizopita ? Zile za 2015 na 2010? Au kama zile za 1995 na 2000 kule Zenji? Kweli utakuwa kama zile zilizopita? Aisee . . . kwa staili hii ngoja nianze kuaandaa tu shamba langu
 
Back
Top Bottom