Rais Magufuli: Nimepanga kabla ya mwaka huu 2018 kumalizika kuhamia Dodoma. Je, wana itifaki mmemuangusha mtukufu?

Musoma Yetu

JF-Expert Member
Mar 11, 2016
2,629
2,288
Rais John Magufuli alisema atahamia jijini Dodoma kabla mwaka 2018 haujamalizika kama alivyoahidi serikali yake kuhamia huko.

Rais Magufuli alisema hayo wakati akizungumza katika hafla fupi ya kuwakabidhi hati za viwanja kwa mabalozi wa nchi mbalimbali na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa, Ikulu jijini Dar es Salaam, Jumatatu Julai 30.

Alisema "hadi sasa viongozi wengi wa serikali wameshahamia Dodoma akiwamo Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, mawaziri na viongozi mbalimbali wa kitaifa na kwamba Dar es Salaam amebaki yeye tu"

“Nimebaki mimi tu hapa. Nimepanga kabla mwaka huu (2018) haujamalizika nitahamia Dodoma, nilitaka nisihamie huko nikawaacha ndugu zangu wanaowakilisha nchi zao hapa Dar es Salaam, ndiyo mana nikahakikisha mnapata hati"

My take! Rais anapotoa kauli inapaswa kutekelezwa Mara moja, ina maana serikali ilishindwa kutekeleza ahadi ya Rais, kama alivyokuwa amepanga?
 
Magufuli alichemka sana kuhusu hilo suala la kuhamia Dodoma.

Ni suala ambalo limepitwa na wakati.

Kwa sasa hakuna tena ulazima wa kuingia gharama kubwa za kuhamishia serikali yote huko.

Wangeachana nalo kabisa na wakalenga tu katika kujenga uchumi mzuri na ulio imara.
 
agufuli alichemka sana kuhusu hilo suala la kuhamia Dodoma.

Ni suala ambalo limepitwa na wakati.

Kwa sasa hakuna tena ulazima wa kuingia gharama kubwa za kuhamishia serikali yote huko.

Wangeachana nalo kabisa na wakalenga tu katika kujenga uchumi mzuri na ulio imara
Sasa ni kwa nini pia anakuwa anatoa ahadi public na hazitekelezeki? Si awe anakaa kimya tu!
 
Magufuli alichemka sana kuhusu hilo suala la kuhamia Dodoma.

Ni suala ambalo limepitwa na wakati.

Kwa sasa hakuna tena ulazima wa kuingia gharama kubwa za kuhamishia serikali yote huko.

Wangeachana nalo kabisa na wakalenga tu katika kujenga uchumi mzuri na ulio imara.
Tukutane Chamwino February 2019

Maamuz yashafanyika hakuna namna ni kusonga mbele

Mwenyewe anasema Tanzania Mpya inakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukutane Chamwino February 2019

Maamuz yashafanyika hakuna namna ni kusonga mbele

Mwenyewe anasema Tanzania Mpya inakuja
Si yeye alisema kabla ya 2018! Wewe ndo unatengua kauli au serikali ndo inatakiwa itoe maelezo, kwa nini ahadi haijazingatiwa
 
Rais John Magufuli alisema atahamia jijini Dodoma kabla mwaka 2018 haujamalizika kama alivyoahidi serikali yake kuhamia huko.

Rais Magufuli alisema hayo wakati akizungumza katika hafla fupi ya kuwakabidhi hati za viwanja kwa mabalozi wa nchi mbalimbali na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa, Ikulu jijini Dar es Salaam, Jumatatu Julai 30.

Alisema "hadi sasa viongozi wengi wa serikali wameshahamia Dodoma akiwamo Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, mawaziri na viongozi mbalimbali wa kitaifa na kwamba Dar es Salaam amebaki yeye tu"

“Nimebaki mimi tu hapa. Nimepanga kabla mwaka huu (2018) haujamalizika nitahamia Dodoma, nilitaka nisihamie huko nikawaacha ndugu zangu wanaowakilisha nchi zao hapa Dar es Salaam, ndiyo mana nikahakikisha mnapata hati"

My take! Rais anapotoa kauli inapaswa kutekelezwa Mara moja, ina maana serikali ilishindwa kutekeleza ahadi ya Rais, kama alivyokuwa amepanga?
makao makuu ya washikaji wangu wa karibu sana (TPDF & Police) bado yapo Dar. nitawaachaje huku peke yao kwa mfano?
 
Mimi sioni kabisa umuhimu wala ulazima wa kuhamia Dodoma.

Nchi bado ni maskini. Hakuna haja ya kuingia gharama za kipumbavu namna hiyo
Si hilo wazo nasikia alilitoa Dr likwelile, ndo ikawa chanzo cha kutumbuliwa
 
Rais John Magufuli alisema atahamia jijini Dodoma kabla mwaka 2018 haujamalizika kama alivyoahidi serikali yake kuhamia huko.

Rais Magufuli alisema hayo wakati akizungumza katika hafla fupi ya kuwakabidhi hati za viwanja kwa mabalozi wa nchi mbalimbali na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa, Ikulu jijini Dar es Salaam, Jumatatu Julai 30.

Alisema "hadi sasa viongozi wengi wa serikali wameshahamia Dodoma akiwamo Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, mawaziri na viongozi mbalimbali wa kitaifa na kwamba Dar es Salaam amebaki yeye tu"

“Nimebaki mimi tu hapa. Nimepanga kabla mwaka huu (2018) haujamalizika nitahamia Dodoma, nilitaka nisihamie huko nikawaacha ndugu zangu wanaowakilisha nchi zao hapa Dar es Salaam, ndiyo mana nikahakikisha mnapata hati"

My take! Rais anapotoa kauli inapaswa kutekelezwa Mara moja, ina maana serikali ilishindwa kutekeleza ahadi ya Rais, kama alivyokuwa amepanga?
Tulia mkuu bado tuko kwenye maandalizi yakikamilika atahama.
 
Alikaridia bajet vibaya kwa kukurupuka katika utekelezaji ndo anaona kigongo
 
mkuu bado tuko kwenye maandalizi yakikamilika atahama.
Serikali ilitolee ufafanuzi, maana mamlaka ya rais inapotoa ahadi isitekelezwe, ufafanuzi unatakiwa utolewe Mara moja, au wanadhani wananchi tumesahau
 
Magufuli alichemka sana kuhusu hilo suala la kuhamia Dodoma.

Ni suala ambalo limepitwa na wakati.

Kwa sasa hakuna tena ulazima wa kuingia gharama kubwa za kuhamishia serikali yote huko.

Wangeachana nalo kabisa na wakalenga tu katika kujenga uchumi mzuri na ulio imara.
Mkuu mambo ya protocally waachie wenyewe! Wewe endelea na yako!
 
Serikali ilitolee ufafanuzi, maana mamlaka ya rais inapotoa ahadi isitekelezwe, ufafanuzi unatakiwa utolewe Mara moja, au wanadhani wananchi tumesahau
Si kila kitu kinatolewa ufafanuzi mkuu! Tulia utajulishwa!
 
Magufuli alichemka sana kuhusu hilo suala la kuhamia Dodoma.

Ni suala ambalo limepitwa na wakati.

Kwa sasa hakuna tena ulazima wa kuingia gharama kubwa za kuhamishia serikali yote huko.

Wangeachana nalo kabisa na wakalenga tu katika kujenga uchumi mzuri na ulio imara.
Tunaingia gharama za ovyo kama nchi kwa sifa ya mtu mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom