Aaron
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,019
- 4,693
Mkuu hata mimi ningeshangaa!!Narudia tena nilichokisema siku zilizopita katika uzi huu
Wakati yeye akishangaa wanachuo wakihangaika
Mimi kama mwananchi wa kawaida, nitashangaa wanachuo wasipohangaika na kwangu utakuwa ni muujiza.