Wapwa
Mgombea Urais wa CCM akiwa njiani kwenye kampeni zake zinazoendelea leo huko Dodoma, amewaambia Wananchi wamchague, maana amepanga Dodoma iwe jiji kubwa kuliko majiji mengine yote, na ndio maana alihama Dar es Salaam, ili aje kukaa Dodoma maisha yake yote.
Kamalizia kwa kuwaomba kura Watanzania wa vyama vyote kama ilivyo ada yake
Haki huinua Taifa
Mgombea Urais wa CCM akiwa njiani kwenye kampeni zake zinazoendelea leo huko Dodoma, amewaambia Wananchi wamchague, maana amepanga Dodoma iwe jiji kubwa kuliko majiji mengine yote, na ndio maana alihama Dar es Salaam, ili aje kukaa Dodoma maisha yake yote.
Kamalizia kwa kuwaomba kura Watanzania wa vyama vyote kama ilivyo ada yake
Haki huinua Taifa