Rais Magufuli: Nilitaka kwenda kupiga kura lakini nikiwa hapa kanisani nimesikia mgombea amepita bila kupingwa hivyo nampongeza

Kwani hakujua kilichotokea au anataka kujisafisha kuwa hahusiki na haya akiamini Watanzania walio wengi ni wapumbavu na hawajui nini kimetokea. Mwenyezi Mungu asituhesabie makosa mengine maana mmh!
 
Rais Magufuli amesema alikuwa anataka kwenda kupiga kura lakini amesikia katika mtaa wao mgombea amepita bila kupingwa.

Rais Magufuli amesema hayo akiwa ibadani katika Kanisa katoliki la mt Imaculata, Chamwino Dodoma.

Dr Magufuli aliwataka waumini ambao uchaguzi unafanyika katika mitaa yao wakawachague wagombea wanaowapenda kwani Maendeleo hayana vyama.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Only in Africa
 
Baada ya raia kuhoji kwa nini picha za viongozi wakipiga kura hazirusshwi.? Ngosha bwana.!
 
Kiongozi akikosa, amekosa tu, kumpamba ni kumdanganya. Rais ametukosea sana Watanzania kwa kuharibu uchaguzi wa kidemokrasia kisha kututeulia wenyeviti wa mitaa, vitongoji na vijiji. Anahitajika nabii Nathan kumwambia Mfalme ukweli machoni: "Mtu huyo ni wewe."
Kusimama mbele ya madhabahu na kusema aliyoyasema Ni kumdhihaki Mungu huku akijua kuwa alichofanya kinahitaji Toba ya dhati.
Amina kwa ujumbe wako.Kiongozi wetu mkuu na wapambe wake wafanye toba,bila kusahau viongozi wa dini wanafiki mfano Rais wa TEC ,wakatoliki.
 
Hangers baba rais wa jamuhuri ya Tanzania tujulisheni ni wagombea wangapi waliopita bila kufungwa vipi niongeza sauti au
 
Rais Magufuli amesema alikuwa anataka kwenda kupiga kura lakini amesikia katika mtaa wao mgombea amepita bila kupingwa.

Rais Magufuli amesema hayo akiwa ibadani katika Kanisa katoliki la mt Imaculata, Chamwino Dodoma.

Dr Magufuli aliwataka waumini ambao uchaguzi unafanyika katika mitaa yao wakawachague wagombea wanaowapenda kwani Maendeleo hayana vyama.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Msimlaumu sana inawezekana mwanzo hawakumwambia mwenyekilti wao kwamba chama chake kimesha pita bila kupingwa, ndio maana serikali anayoiongoza ikatowa pesa kwa ajili ya uchaguzi. Lakini wakaja kumwambia siku ya uchaguzi tena akiwa kanisani hivyo akaona hakuna haja ya kwenda kupiga kura.
 
Kama maendeleo hayana Chama, yule mama wa wilaya ya Momba mkoani Songwe aliomba maji na ukamjibu amuombe aliemchagua ambae ni mbunge wa chadema na madiwani wake au sio wewe mzee baba!?
Kama ni kweli Raisi alisema hivyo basi hapo alikosea sana Kwa sababu watu walio pigia kura upinzani walipiga Kwa kuchoshwa na mafisadi kwenye serikali ambao hadi yeye raisi ana sumbuka nao kuwapiga vita
 
Kama maendeleo hayana Chama, yule mama wa wilaya ya Momba mkoani Songwe aliomba maji na ukamjibu amuombe aliemchagua ambae ni mbunge wa chadema na madiwani wake au sio wewe mzee baba!?
Kanisa katoliki la mitume wameona hii
 
Magufuli has lost any iota of integrity,has no shame to speak such things inside a church, any wonder catholic church has lost track of holiness
 
Hivi MTU anayepita bila kupingwa huwa anajulikana siku ya kupiga kura? Mi nadhani huwa anajulikana na kutangazwa kabla ya siku ya kupiga kura Kwa kikosa wapinzani.
Sasa nini katika mazingira yapi yaliyosababisha huyu mgombea wa kata ya mheshimiwa ajulikane kupita bila kupingwa siku ya uchaguzi?
 
Rais Magufuli amesema alikuwa anataka kwenda kupiga kura lakini amesikia katika mtaa wao mgombea amepita bila kupingwa.

Rais Magufuli amesema hayo akiwa ibadani katika Kanisa katoliki la mt Imaculata, Chamwino Dodoma.

Dr Magufuli aliwataka waumini ambao uchaguzi unafanyika katika mitaa yao wakawachague wagombea wanaowapenda kwani Maendeleo hayana vyama.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Enzi za mwendazake
 
Rais Magufuli amesema alikuwa anataka kwenda kupiga kura lakini amesikia katika mtaa wao mgombea amepita bila kupingwa.

Rais Magufuli amesema hayo akiwa ibadani katika Kanisa katoliki la mt Imaculata, Chamwino Dodoma.

Dr Magufuli aliwataka waumini ambao uchaguzi unafanyika katika mitaa yao wakawachague wagombea wanaowapenda kwani Maendeleo hayana vyama.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Mungu kamchapa Bakora huyu Msanii.
Alikuwa analeta Masihara Altareni
 
Back
Top Bottom