Corona ilimtafuna huyu munguRais Magufuli amesema alikuwa anataka kwenda kupiga kura lakini amesikia katika mtaa wao mgombea amepita bila kupingwa.
Rais Magufuli amesema hayo akiwa ibadani katika Kanisa katoliki la mt Imaculata, Chamwino Dodoma.
Dr Magufuli aliwataka waumini ambao uchaguzi unafanyika katika mitaa yao wakawachague wagombea wanaowapenda kwani Maendeleo hayana vyama.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!