Rais Magufuli: Nilitaka kwenda kupiga kura lakini nikiwa hapa kanisani nimesikia mgombea amepita bila kupingwa hivyo nampongeza

Rais Magufuli amesema alikuwa anataka kwenda kupiga kura lakini amesikia katika mtaa wao mgombea amepita bila kupingwa.

Rais Magufuli amesema hayo akiwa ibadani katika Kanisa katoliki la mt Imaculata, Chamwino Dodoma.

Dr Magufuli aliwataka waumini ambao uchaguzi unafanyika katika mitaa yao wakawachague wagombea wanaowapenda kwani Maendeleo hayana vyama.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Corona ilimtafuna huyu mungu
 
Back
Top Bottom