johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Rais Magufuli amewaambia wananchi wa Ruangwa kuwa baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa JMT alipata mtihani mgumu wa namna ya kumpata msaidizi atakayeendana naye.
Ndipo baada ya kumuomba Mungu akanionyesha kijana wenu mchapa kazi, shujaa asiyeogopa chochote mh Kassimu Majaliwa, amesema Rais Magufuli.
Basi niwaombe wananchi wa Ruangwa mumpe ushirikiano waziri mkuu ili kwa pamoja tuijenge nchi yetu, amemalizia Rais.
Chanzo: TBC!
Ndipo baada ya kumuomba Mungu akanionyesha kijana wenu mchapa kazi, shujaa asiyeogopa chochote mh Kassimu Majaliwa, amesema Rais Magufuli.
Basi niwaombe wananchi wa Ruangwa mumpe ushirikiano waziri mkuu ili kwa pamoja tuijenge nchi yetu, amemalizia Rais.
Chanzo: TBC!