gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,670
- 2,165
mtakubali tu,tulivyosema sisi kina gogo la shamba,kwamba miaka hii mitano yatasemwa mambo mengi ya ajabu
Huyu jamaa washauri wake wanakula hela ya bure tu wanashindwa kumshauri vitu vingine si vya kuzungumza au wapo tu kama masanamu ya nyumba za makumbusho
Auze na magogoni...........Aziuze kwakweli mi ntanunua jengo la wizara ya ardhi .....mhe.lukuvi atajiju
Ndo tuzidi zisoma 12345..... Alafu Alufu mbili na ishirini tutajua ipi imeiva ipi imeoza ili tuitupe.Mwaka umeshakatika katufanyia nini km nchi
Jamaa ana mihemuko kweli wakati kitaa hali mbaya sana, Labda ipo siku mambo yatakuwa poa......Endeleani kumsifia maana sisi tukisema Mfungeni gavana mtu wenu mnatuona sisi hamnazo
Wazo la kuuza limemjia jukwaaniSwala la kuuza nyumba za serikali zilizopo dar kuna faida na hasara.
Hasara moja wapo ni kipindi wakija Dar kwa shughuli yoyote je watakaa hotelini?
Lakini pia, shughuli za namna hiyo zinaweza kuwa ngapi kwa mwaka? Shughuli ambazo haziwezi wanyika dodoma. Na gharama ya kuzi maintain hizo nyumba VS gharama ya kukaa hotelini ipi nafuu.
Pia, kuna option nyingine angeweza kufanya ikiwemo kama mdau mmoja alisema, kuingia ubia na NHC na kuzipangisha hizo nyumba.
Kwa hiyo mi naona kuna options nyingi mno, ishu nikuwa hajatoa maelezo kwann kafikia uwamuzi wa kuziuza. Je hajui hizi option nyingine au wamezipitia na kuuza ikaonekana bora zaidi.
In short, hatuna information za kutosha kupinga au kuunga mkono uwamuzi wake. Tuache longolongo na tuombe taarifa zaidi
Mkuu hiyo ni kweli kabisa.......sasa yaonekana naongea na vitu ambavyo havipo kwenye ilani ya chama cake.....Huyu mzee awe anaandikiwa speech mambo yakujidai anatiririka ndio anaongea vitu visivyokwenye mipango ya serikali..
Siku atakuja kutafuta mchawi nani. TUPO"
Hakuna tija yeyote.kisa mapenzi ya baba wa taifa yatimizwe.Or perhaps tija gani Watanzania wataipata kwa serikali kuhamia Dodoma ??