Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
- Thread starter
- #161
TRA hawajazaliwa na kushushwa kutoka mbinguni, ni hao hao watoto, kaka, dada na wazazi wetu. Usiwalaumu wao tujilaumu sisi kwani unaweza ukadhani tatizo ni wao kumbe ni uvivu wetu.Ntaipigia debe TRA siku ikabadilika ikaona watanzania ni wadau halali wa kulipia kodi halali
Kipimo cha wapi lilipo tatizo, linganisha idadi ya walipa kodi wa Tanzania dhidi ya majirani zake. Tusikwepe madhaifu yetu na kuwasingizia wengine. TRA ni mfumo uliotenfenezwa kutokana na aina ya uchumi tuliyo nayo. Ni TRA hiyo hiyo iliyokuwepo wakati wa Kikwete na sheria ni hizo hizo sema TRA ya wakati huo haikuwa strict na kuachia mianya ya ukwepaji kodi.