Rais Magufuli ni 'Special Offer', Tuitumie vizuri

spencer

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
3,599
3,220
Heshima kwenu wadau.

Mimi siyo kama Mayala, yeye anaona sarafu upande mmoja tu. Wakati mwingine anachanganya na illusions halafu ana-conclude.

Pamoja na yote hayo, kwangu mie naona Mhe. JPM ni Special Offer, Moyo wangu uliruka kwa furaha tangu alipofunga ile penalty huru walipounawa mpira ndani ya penalty box.

Wakati Mayala anataka kuona ''system'' inafanya kazi, anasahau kuwa kukabidhi ''system mtu contaminated'' hutoboi, wataicheat system.

Kwa hiyo anachokifanya bandika bandua huku kila anayeingia usipofuata hiki unatumbuliwa ndio hasaa tunachotaka.

System inalelewa au inaperform better kama behaviour nayo imechange. Kuenenda na huo mfumo, sasa cha kwanza ni behaviour. JPM aPige chini Kadiri iwezekanavyo huku tabia ikibadirika.

Wangapi tumeamua kupaki gari zetu baada ya mwendo kasi bhana? Mbona tumezoea, lakini tumesave bei gani za mafuta daily kwenda posta mpya?

JPM ni Special Offer ambayo kama siyo yeye, naamini hapa tungeshuhudia visasi flani alipukuwa anakula flani angetolewa akawekwa flani ale. Na tusingeskia haya madudu ya Bonus million 60.

Huu ndio wakati wasiotaka kufanya kazi Catalina na kusaga meno. Hakuna misiontown tena, mfuga ng'ombe wa.maziwa mbutu (kigamboni) anaheshimika sana.

Mkulima was Korosho Mtwara kamuulize Magu ni nani?

Ukifikiria nchi ilipokuwa imefika, halafu unakutana akili ya ndg yangu Mayala. Naona live inazekana kaisoma namba.

Viva JPM
 
Heshima kwenu wadau.

Mimi siyo kama Mayala, yeye anaona sarafu upande mmoja tu. Wakati mwingine anachanganya na illusions halafu ana-conclude.

Pamoja na yote hayo, kwangu mie naona Mhe. JPM ni Special Offer, Moyo wangu uliruka kwa furaha tangu alipofunga ile penalty huru walipounawa mpira ndani ya penalty box.

Wakati Mayala anataka kuona ''system'' inafanya kazi, anasahau kuwa kukabidhi ''system mtu contaminated'' hutoboi, wataicheat system.

Kwa hiyo anachokifanya bandika bandua huku kila anayeingia usipofuata hiki unatumbuliwa ndio hasaa tunachotaka.

System inalelewa au inaperform better kama behaviour nayo imechange. Kuenenda na huo mfumo, sasa cha kwanza ni behaviour. JPM aPige chini Kadiri iwezekanavyo huku tabia ikibadirika.

Wangapi tumeamua kupaki gari zetu baada ya mwendo kasi bhana? Mbona tumezoea, lakini tumesave bei gani za mafuta daily kwenda posta mpya?

JPM ni Special Offer ambayo kama siyo yeye, naamini hapa tungeshuhudia visasi flani alipukuwa anakula flani angetolewa akawekwa flani ale. Na tusingeskia haya madudu ya Bonus million 60.

Huu ndio wakati wasiotaka kufanya kazi Catalina na kusaga meno. Hakuna misiontown tena, mfuga ng'ombe wa.maziwa mbutu (kigamboni) anaheshimika sana.

Mkulima was Korosho Mtwara kamuulize Magu ni nani?

Ukifikiria nchi ilipokuwa imefika, halafu unakutana akili ya ndg yangu Mayala. Naona live inazekana kaisoma namba.

Viva JPM
Achana na Mayalla, we ni cha mtoto kwa Mayalla. Sema ya kwako do not make reference to Mayalla
 
mtoa post hizi ni porojo huyu mtu ambaye anawahadaa vijana kwenye ajira na kutoa uongo livee unaniambia spesho offer, waziri mkuu alidanganya sukari itashuka bei mwezi wa ramadhani lakini mpaka leo hakuna jipya unaniambia spesho offer huyu mtu ambaye anawanyima mikopo wanafunzi tofauti na ahadi yake bado unaniambia ni spesho offer shule na hospitali zina upungufu wa walimu na madaktari huyu mtu anang'ang'ania kununua mindege huku waziri wake wa afya akidai ana uwezo wa kuajiri madokta 400 tu kati ya 1800 ambapo yeye jpm anakuambia pesa zipo , mikopo anaongeza tozo tofauti mikataba iliyoingiwa na wanufaikaji, mtaani hakusomeki. mkuu hiyo spesho offa baki nayo mi hapana.
 
Heshima kwenu wadau.

Mimi siyo kama Mayala, yeye anaona sarafu upande mmoja tu. Wakati mwingine anachanganya na illusions halafu ana-conclude.

Pamoja na yote hayo, kwangu mie naona Mhe. JPM ni Special Offer, Moyo wangu uliruka kwa furaha tangu alipofunga ile penalty huru walipounawa mpira ndani ya penalty box.

Wakati Mayala anataka kuona ''system'' inafanya kazi, anasahau kuwa kukabidhi ''system mtu contaminated'' hutoboi, wataicheat system.

Kwa hiyo anachokifanya bandika bandua huku kila anayeingia usipofuata hiki unatumbuliwa ndio hasaa tunachotaka.

System inalelewa au inaperform better kama behaviour nayo imechange. Kuenenda na huo mfumo, sasa cha kwanza ni behaviour. JPM aPige chini Kadiri iwezekanavyo huku tabia ikibadirika.

Wangapi tumeamua kupaki gari zetu baada ya mwendo kasi bhana? Mbona tumezoea, lakini tumesave bei gani za mafuta daily kwenda posta mpya?

JPM ni Special Offer ambayo kama siyo yeye, naamini hapa tungeshuhudia visasi flani alipukuwa anakula flani angetolewa akawekwa flani ale. Na tusingeskia haya madudu ya Bonus million 60.

Huu ndio wakati wasiotaka kufanya kazi Catalina na kusaga meno. Hakuna misiontown tena, mfuga ng'ombe wa.maziwa mbutu (kigamboni) anaheshimika sana.

Mkulima was Korosho Mtwara kamuulize Magu ni nani?

Ukifikiria nchi ilipokuwa imefika, halafu unakutana akili ya ndg yangu Mayala. Naona live inazekana kaisoma namba.

Viva JPM
Upo sahihi sana na hili wengi hawalielewi! ....System inaongozwa na watu, sasa kama watu hao tabia hazina afya ni vigumu kufikia malengo tarajiwa!

Kinachofanyika sasa ni kurudisha watu kwenye misingi kwanza!
 
Mayalla na wewe ni kama mlima na kichuguu.Pliz achana na Mayalla that is another level bro
 
Heshima kwenu wadau.

Mimi siyo kama Mayala, yeye anaona sarafu upande mmoja tu. Wakati mwingine anachanganya na illusions halafu ana-conclude.

Pamoja na yote hayo, kwangu mie naona Mhe. JPM ni Special Offer, Moyo wangu uliruka kwa furaha tangu alipofunga ile penalty huru walipounawa mpira ndani ya penalty box.

Wakati Mayala anataka kuona ''system'' inafanya kazi, anasahau kuwa kukabidhi ''system mtu contaminated'' hutoboi, wataicheat system.

Kwa hiyo anachokifanya bandika bandua huku kila anayeingia usipofuata hiki unatumbuliwa ndio hasaa tunachotaka.

System inalelewa au inaperform better kama behaviour nayo imechange. Kuenenda na huo mfumo, sasa cha kwanza ni behaviour. JPM aPige chini Kadiri iwezekanavyo huku tabia ikibadirika.

Wangapi tumeamua kupaki gari zetu baada ya mwendo kasi bhana? Mbona tumezoea, lakini tumesave bei gani za mafuta daily kwenda posta mpya?

JPM ni Special Offer ambayo kama siyo yeye, naamini hapa tungeshuhudia visasi flani alipukuwa anakula flani angetolewa akawekwa flani ale. Na tusingeskia haya madudu ya Bonus million 60.

Huu ndio wakati wasiotaka kufanya kazi Catalina na kusaga meno. Hakuna misiontown tena, mfuga ng'ombe wa.maziwa mbutu (kigamboni) anaheshimika sana.

Mkulima was Korosho Mtwara kamuulize Magu ni nani?

Ukifikiria nchi ilipokuwa imefika, halafu unakutana akili ya ndg yangu Mayala. Naona live inazekana kaisoma namba.

Viva JPM
Uandishi wa shabani Robert.
 
Mayalla na wewe ni kama mlima na kichuguu.Pliz achana na Mayalla that is another level bro

Hahahahaha
Yaani huyu Jamaa kama hajapigwa chini na TCRA basi nadhani kuna kitu.

Sio bure
 
January makamba sijui kwa nini ulipotea sana Twitter

Hizi Anonymous id ni shida.
Ushanifanisha mimi na January Makamba mara hii.

Tumieni vizuri wasaa huu Mhe. MAGUFURI kabla hamjapata hao. viongozi mtandao.

Jiwekeni sawa, siku kila mtu anahela mtanunua kiwanja 20x20 million 50 or More.

Mtaishia kukausha jasho na ac ya bure Mlimani City
 
Upo sahihi sana na hili wengi hawalielewi! ....System inaongozwa na watu, sasa kama watu hao tabia hazina afya ni vigumu kufikia malengo tarajiwa!

Kinachofanyika sasa ni kurudisha watu kwenye misingi kwanza!
Unadhani inawezekana? Uongozi ni hekima na busara na sio kutumia miguvu.
Time will tell alafu mtakuja kujishangaa kwenye majukwaa ya siasa mwaka 2020
 
Hizi Anonymous id ni shida.
Ushanifanisha mimi na January Makamba mara hii.

Tumieni vizuri wasaa huu Mhe. MAGUFURI kabla hamjapata hao. viongozi mtandao.

Jiwekeni sawa, siku kila mtu anahela mtanunua kiwanja 20x20 million 50 or More.

Mtaishia kukausha jasho na ac ya bure Mlimani City
Haaaaah mkuu unachekesha kweli bro....
 
Heshima kwenu wadau.

Mimi siyo kama Mayala, yeye anaona sarafu upande mmoja tu. Wakati mwingine anachanganya na illusions halafu ana-conclude.

Pamoja na yote hayo, kwangu mie naona Mhe. JPM ni Special Offer, Moyo wangu uliruka kwa furaha tangu alipofunga ile penalty huru walipounawa mpira ndani ya penalty box.

Wakati Mayala anataka kuona ''system'' inafanya kazi, anasahau kuwa kukabidhi ''system mtu contaminated'' hutoboi, wataicheat system.

Kwa hiyo anachokifanya bandika bandua huku kila anayeingia usipofuata hiki unatumbuliwa ndio hasaa tunachotaka.

System inalelewa au inaperform better kama behaviour nayo imechange. Kuenenda na huo mfumo, sasa cha kwanza ni behaviour. JPM aPige chini Kadiri iwezekanavyo huku tabia ikibadirika.

Wangapi tumeamua kupaki gari zetu baada ya mwendo kasi bhana? Mbona tumezoea, lakini tumesave bei gani za mafuta daily kwenda posta mpya?

JPM ni Special Offer ambayo kama siyo yeye, naamini hapa tungeshuhudia visasi flani alipukuwa anakula flani angetolewa akawekwa flani ale. Na tusingeskia haya madudu ya Bonus million 60.

Huu ndio wakati wasiotaka kufanya kazi Catalina na kusaga meno. Hakuna misiontown tena, mfuga ng'ombe wa.maziwa mbutu (kigamboni) anaheshimika sana.

Mkulima was Korosho Mtwara kamuulize Magu ni nani?

Ukifikiria nchi ilipokuwa imefika, halafu unakutana akili ya ndg yangu Mayala. Naona live inazekana kaisoma namba.

Viva JPM
Jipu linatumbua Jipu trafiki rukusa kula buku 5.au akangoe tairi za watuhumiwa.
 
Heshima kwenu wadau.

Mimi siyo kama Mayala, yeye anaona sarafu upande mmoja tu. Wakati mwingine anachanganya na illusions halafu ana-conclude.

Pamoja na yote hayo, kwangu mie naona Mhe. JPM ni Special Offer, Moyo wangu uliruka kwa furaha tangu alipofunga ile penalty huru walipounawa mpira ndani ya penalty box.

Wakati Mayala anataka kuona ''system'' inafanya kazi, anasahau kuwa kukabidhi ''system mtu contaminated'' hutoboi, wataicheat system.

Kwa hiyo anachokifanya bandika bandua huku kila anayeingia usipofuata hiki unatumbuliwa ndio hasaa tunachotaka.

System inalelewa au inaperform better kama behaviour nayo imechange. Kuenenda na huo mfumo, sasa cha kwanza ni behaviour. JPM aPige chini Kadiri iwezekanavyo huku tabia ikibadirika.

Wangapi tumeamua kupaki gari zetu baada ya mwendo kasi bhana? Mbona tumezoea, lakini tumesave bei gani za mafuta daily kwenda posta mpya?

JPM ni Special Offer ambayo kama siyo yeye, naamini hapa tungeshuhudia visasi flani alipukuwa anakula flani angetolewa akawekwa flani ale. Na tusingeskia haya madudu ya Bonus million 60.

Huu ndio wakati wasiotaka kufanya kazi Catalina na kusaga meno. Hakuna misiontown tena, mfuga ng'ombe wa.maziwa mbutu (kigamboni) anaheshimika sana.

Mkulima was Korosho Mtwara kamuulize Magu ni nani?

Ukifikiria nchi ilipokuwa imefika, halafu unakutana akili ya ndg yangu Mayala. Naona live inazekana kaisoma namba.

Viva JPM
Nchi haiendeshwi kwa matamko na kutumbuana bro. Inaendeshwa kimkakati. Kumbuka muda haumsubiri binadamu

Hekima na busara ndo uongozi bora. Kichwa kimoja hakiwezi jua kila kitu. Ndio maana hata mambo ya kitaalamu nyie mnaona ni upigaji.

Kama ukiwa hai tutakuja kukutana hapahapa kupeana mrejesho.

Kikubwa ninacgokushauri ni wewe kujitahidi uwezavyo kuhakikisha wanao hawatakula majani miaka ijayo. Achana na wana siasa
 
Unadhani inawezekana? Uongozi ni hekima na busara na sio kutumia miguvu.
Time will tell alafu mtakuja kujishangaa kwenye majukwaa ya siasa mwaka 2020

Hivi unafikiri kuna upinzani tena????
Na hapa asilaumiwe JPM wapinzani wamejiua wenyewe walipoamua kujivisha bomu la kujitoa mhanga 2015.

Yaani kwa kuwa Magu ndie anayekemea ufisadi, ataendelea kupeta mara mia.
 
Kukaa Sengerema sio issue,ila kukubali kwamba wewe ni MSENGEREMA ni issue mbaya sana,mtoa uzi kumbe ni MSENGEREMA kabisa bhana douh!!!!!
 
Back
Top Bottom