Rais Magufuli ni muda muafaka kufanya ziara hapa Dar es Salaam

Nadhani mambo mengine sio lazima Rais afanye, mnamchosha huyu mzee.

Ipo haja watu wakajifunza kuwajibika vyema katika nafasi zao.

Watendaji wote, Ma RC, DC, DED, jamani kuna haja ya kufanya mambo kwa weledi, kero hizi za kila siku mpaka Rais afanye ziara hazina tija.

Kazi ambayo Magufuli pia inapaswa aifanye kwa nguvu kubwa Sana ni kutengeneza mifumo imara ya utendaji, ili akimaliza muda wake awe amaecha legacy nzuri.

Mifumo imara ni bora zaidi.
 
Mh Rais ni kweli kuwa sasa umehamia Dodoma na utakuwa unakuja hapa kama mji wa kwaida sio mji mkuu kama zamani .

Tangu uondoke hapa Dar kumekuwa na matatizo maana waliogopa uwepo wako sasa mambo yanakuwa ya hovyo sana kila mtendaji anafanya anavyo jisikia hivyo naomba ukipata muda uje utembelee kwa ziara maalumu kama ulivyo fanya mikoani ukitokea Dar maana kuna matatizo rukuki nitakwambia baadhi :

1.Uhaba wa umeme umekuwa kawaida kukatika katika tofauti na kipindi ukiwa hapa

2.Utekelezaji mbovu wa miradi hasa ujenzi wa barabara na madaraja ,hospitali,masoko,shule,zahanati, kila mradi kwa sasa ni kama umesimama na hakuna anayejari hata stand ya mbezi tunakwenda kuanza mwaka mpya ikiwa bado hasa barabara za kuingia stand

3.Huduma mbovu kwenye ofisi za umma imekuwa kwaida kama mwaka 2000 vile hii inamaana wanaona kama uko mbali kumbe walikuwa na hofu na uwepo wako na wizara zilizokuwa hapa ,wameanza visingizio kuwa mpaka wizarani

4.Huu mji uchafu unazidi sasa ile mikwala ya usafi kila jmosi hakuna maisha yamekuwa kama tuvuma na tanga sio zile mishemishe za zamani

5.Dawa za kulevya sasa ni kawaida kuona zikuuzwa kama kipindi cha IGP mahita hakuna anayeogopa tumerudi kuwa badari ya ngada sasa

6.Mawaziri wakija Dar wanakuja kula bata na sio ziara za kikazi hii imepunguza morale ya kazi na ufatiliaji .

Mh Rais najua hujawahi fanya ziara hapa dar tangu uwepo madarakani zaidi ka kupita na kuona ukiwa kwenye mishe zingine ila uwepo wako ulisaidia watendaji kuwa waoga na kufanya kazi kwa kujituma wakiogopa kutumbuliwa

Kwa kuwa mkoa huu ndio mkoa unachangia asilimia kubwa katika pato la taifa kama hutakuwa unakuja mara kwa mara pato hilo laweza kushuka sana tena kwa kasi kutokana na uzembe
USSR, kwa ufupi huyo Mwenyekiti wenu hana tofauti na mtendaji wa serikali ya mtaa. Anafanya kazi pale alipo.
Meko kashindwa kuweka mfumo utakaoweza kufanya kazi hata yeye asipokuwepo mahali.
Marekani imeweza kutawala dunia kutokana na mfumo iliouweka.
Meko akae akijua kuwa bila mfumo imara nchi haitawaliki. Aachane na mfumo wa utawala wa paka 🐱🐈
 
Kama hawafanyi tufanyeje ? Sisi tunamtaka anayetenda papo kwa hapo
Nadhani mambo mengine sio lazima Rais afanye, mnamchosha huyu mzee.

Ipo haja watu wakajifunza kuwajibika vyema katika nafasi zao.

Watendaji wote, Ma RC, DC, DED, jamani kuna haja ya kufanya mambo kwa weledi, kero hizi za kila siku mpaka Rais afanye ziara hazina tija.

Kazi ambayo Magufuli pia inapaswa aifanye kwa nguvu kubwa Sana ni kutengeneza mifumo imara ya utendaji, ili akimaliza muda wake awe amaecha legacy nzuri.

Mifumo imara ni bora zaidi.
 
Sema akili zako kidogo sana hasa ikifika usiku .hujui anao wawakilishi
USSR, kwa ufupi huyo Mwenyekiti wenu hana tofauti na mtendaji wa serikali ya mtaa. Anafanya kazi pale alipo.
Meko kashindwa kuweka mfumo utakaoweza kufanya kazi hata yeye asipokuwepo mahali.
Marekani imeweza kutawala dunia kutokana na mfumo iliouweka.
Meko akae akijua kuwa bila mfumo imara nchi haitawaliki. Aachane na mfumo wa utawala wa paka
 
Ukiwa kwenye kilinge cha mshana jr huko msata unajiona dunia nzima ni yako kuwa na adabu
Wewe akili yako imejaa kashfa, kejeli na matusi. Tunaendelea tu kukuvumilia, hujui utendalo
 
Mh Rais ni kweli kuwa sasa umehamia Dodoma na utakuwa unakuja hapa kama mji wa kwaida sio mji mkuu kama zamani .

Tangu uondoke hapa Dar kumekuwa na matatizo maana waliogopa uwepo wako sasa mambo yanakuwa ya hovyo sana kila mtendaji anafanya anavyo jisikia hivyo naomba ukipata muda uje utembelee kwa ziara maalumu kama ulivyo fanya mikoani ukitokea Dar maana kuna matatizo rukuki nitakwambia baadhi :

1.Uhaba wa umeme umekuwa kawaida kukatika katika tofauti na kipindi ukiwa hapa

2.Utekelezaji mbovu wa miradi hasa ujenzi wa barabara na madaraja ,hospitali,masoko,shule,zahanati, kila mradi kwa sasa ni kama umesimama na hakuna anayejari hata stand ya mbezi tunakwenda kuanza mwaka mpya ikiwa bado hasa barabara za kuingia stand

3.Huduma mbovu kwenye ofisi za umma imekuwa kwaida kama mwaka 2000 vile hii inamaana wanaona kama uko mbali kumbe walikuwa na hofu na uwepo wako na wizara zilizokuwa hapa ,wameanza visingizio kuwa mpaka wizarani

4.Huu mji uchafu unazidi sasa ile mikwala ya usafi kila jmosi hakuna maisha yamekuwa kama tuvuma na tanga sio zile mishemishe za zamani

5.Dawa za kulevya sasa ni kawaida kuona zikuuzwa kama kipindi cha IGP mahita hakuna anayeogopa tumerudi kuwa badari ya ngada sasa

6.Mawaziri wakija Dar wanakuja kula bata na sio ziara za kikazi hii imepunguza morale ya kazi na ufatiliaji .

Mh Rais najua hujawahi fanya ziara hapa dar tangu uwepo madarakani zaidi ka kupita na kuona ukiwa kwenye mishe zingine ila uwepo wako ulisaidia watendaji kuwa waoga na kufanya kazi kwa kujituma wakiogopa kutumbuliwa

Kwa kuwa mkoa huu ndio mkoa unachangia asilimia kubwa katika pato la taifa kama hutakuwa unakuja mara kwa mara pato hilo laweza kushuka sana tena kwa kasi kutokana na uzembe

Jiji la Dar litamkumbuka mheshimiwa Paul Makonda pamoja na maneno yote !

1609102914423.png
 
Mh Rais ni kweli kuwa sasa umehamia Dodoma na utakuwa unakuja hapa kama mji wa kwaida sio mji mkuu kama zamani .

Tangu uondoke hapa Dar kumekuwa na matatizo maana waliogopa uwepo wako sasa mambo yanakuwa ya hovyo sana kila mtendaji anafanya anavyo jisikia hivyo naomba ukipata muda uje utembelee kwa ziara maalumu kama ulivyo fanya mikoani ukitokea Dar maana kuna matatizo rukuki nitakwambia baadhi :

1.Uhaba wa umeme umekuwa kawaida kukatika katika tofauti na kipindi ukiwa hapa

2.Utekelezaji mbovu wa miradi hasa ujenzi wa barabara na madaraja ,hospitali,masoko,shule,zahanati, kila mradi kwa sasa ni kama umesimama na hakuna anayejari hata stand ya mbezi tunakwenda kuanza mwaka mpya ikiwa bado hasa barabara za kuingia stand

3.Huduma mbovu kwenye ofisi za umma imekuwa kwaida kama mwaka 2000 vile hii inamaana wanaona kama uko mbali kumbe walikuwa na hofu na uwepo wako na wizara zilizokuwa hapa ,wameanza visingizio kuwa mpaka wizarani

4.Huu mji uchafu unazidi sasa ile mikwala ya usafi kila jmosi hakuna maisha yamekuwa kama tuvuma na tanga sio zile mishemishe za zamani

5.Dawa za kulevya sasa ni kawaida kuona zikuuzwa kama kipindi cha IGP mahita hakuna anayeogopa tumerudi kuwa badari ya ngada sasa

6.Mawaziri wakija Dar wanakuja kula bata na sio ziara za kikazi hii imepunguza morale ya kazi na ufatiliaji .

Mh Rais najua hujawahi fanya ziara hapa dar tangu uwepo madarakani zaidi ka kupita na kuona ukiwa kwenye mishe zingine ila uwepo wako ulisaidia watendaji kuwa waoga na kufanya kazi kwa kujituma wakiogopa kutumbuliwa

Kwa kuwa mkoa huu ndio mkoa unachangia asilimia kubwa katika pato la taifa kama hutakuwa unakuja mara kwa mara pato hilo laweza kushuka sana tena kwa kasi kutokana na uzembe
Wana Daslama mmeanza kulialia!!! Tulieni dawa iwaingie, habari ya nchi ni Dom, huko mikoani (Dar) vumilieni kwanza
 
Mh Rais ni kweli kuwa sasa umehamia Dodoma na utakuwa unakuja hapa kama mji wa kwaida sio mji mkuu kama zamani .

Tangu uondoke hapa Dar kumekuwa na matatizo maana waliogopa uwepo wako sasa mambo yanakuwa ya hovyo sana kila mtendaji anafanya anavyo jisikia hivyo naomba ukipata muda uje utembelee kwa ziara maalumu kama ulivyo fanya mikoani ukitokea Dar maana kuna matatizo rukuki nitakwambia baadhi :

1.Uhaba wa umeme umekuwa kawaida kukatika katika tofauti na kipindi ukiwa hapa

2.Utekelezaji mbovu wa miradi hasa ujenzi wa barabara na madaraja ,hospitali,masoko,shule,zahanati, kila mradi kwa sasa ni kama umesimama na hakuna anayejari hata stand ya mbezi tunakwenda kuanza mwaka mpya ikiwa bado hasa barabara za kuingia stand

3.Huduma mbovu kwenye ofisi za umma imekuwa kwaida kama mwaka 2000 vile hii inamaana wanaona kama uko mbali kumbe walikuwa na hofu na uwepo wako na wizara zilizokuwa hapa ,wameanza visingizio kuwa mpaka wizarani

4.Huu mji uchafu unazidi sasa ile mikwala ya usafi kila jmosi hakuna maisha yamekuwa kama tuvuma na tanga sio zile mishemishe za zamani

5.Dawa za kulevya sasa ni kawaida kuona zikuuzwa kama kipindi cha IGP mahita hakuna anayeogopa tumerudi kuwa badari ya ngada sasa

6.Mawaziri wakija Dar wanakuja kula bata na sio ziara za kikazi hii imepunguza morale ya kazi na ufatiliaji .

Mh Rais najua hujawahi fanya ziara hapa dar tangu uwepo madarakani zaidi ka kupita na kuona ukiwa kwenye mishe zingine ila uwepo wako ulisaidia watendaji kuwa waoga na kufanya kazi kwa kujituma wakiogopa kutumbuliwa

Kwa kuwa mkoa huu ndio mkoa unachangia asilimia kubwa katika pato la taifa kama hutakuwa unakuja mara kwa mara pato hilo laweza kushuka sana tena kwa kasi kutokana na uzembe
Anahitajika zaidi pia na mikao mingine.
Nyie mmekaa na mamlaka miaka yote hiyo hamjajifunza tu bado mnataka kulelewa.
Jifunzeni kujitetegemea msipende miteremko wa tu wa dar
 
Back
Top Bottom