Rais Magufuli ni mkweli aliyepitiliza,anausema ukweli bila kujali mjadala utakaoufuata. We have the President we wanted!

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,196
25,515
Kwa miaka mingi,Tanzania imekuwa na wanasiasa waongo,walaghai,matapeli na wanaojali matumbo yao. Mzizi wa uongo,ulaghai na utapeli ni kutozungumza ukweli. Tumempata Rais tuliyemtaka kwa miaka mingi.

Rais Magufuli si mbadilishaji au mchezeaji wa maneno. Daima amekuwa akiusema ukweli anaouamini na kuuishi hata kama ukweli huo unachoma,unauma,unakera au unachukiza. Kusema moja kwenye mbili hana. Moja anaiita moja.

Katika hotuba zake,anapotaka kuufikisha ujumbe wake kupitia ukweli,huwataja wanaomkwaza,kumuangusha au kumfurahisha. Humsifia anayestahili na humkemea au kumpa rai anayemwangusha au anayemkwaza. Ni mkweli tu hufanya hivyo.

Daima,Rais haonyeshi uanasiasa wake kwenye mambo ya msingi kwa kuyasema asiyoyaamini. Wanasiasa wamezoea kusema na kutenda tofauti. Wamezoea kuficha ukweli na kuwaaminisha wanaowaamini kisicho cha kweli. Rais hayuko hivyo.

Nitatoa mfano. Angekuwa mwingine angeweza kutuaminisha kuwa punde tutapata Katiba mpya. Angepiga danadana kwa maneno. Rais amesema wazi msimamo wake. Ni kuwa hana mpango wa kuendelea na mchakato kwa sasa,ni heri reli ikajengwe.

Ameanika ukweli wake kuhusu mikutano ya kisiasa;watoto wanaopata ujauzito kuendelea na masomo;uzazi wa mpango;uhaba wa chakula na kadhalika. Uzuri wa kusema ukweli ni kuwa hakuna kujali mjadala unaofuata. Siasa za kitapeli ambazo zilizaa ufisadi hazina nafasi kwasasa. Hakika,we have the President we wanted!

Hapa kazi tu!
 
Yeah, kusema unachoamini ni ujasiri wa hali ya juu sana......

Hata hivyo, hii haina maana ya kuwa kila unachokiamini na kukisema chaweza kuwa sahihi ama cha kweli na chenye manufaa kwa wanaokusikiliza.....

Hata kichaa/mwendawazimu husema kwa kujiamini anachodhani yeye kuwa ni sahihi na sauti yake husikika kwa uzuri tu kwa watu....!!

Na haiwezekani ukakubaliana na kumwamini mtu ambaye spiritually possessed anapokuwa analoloma hovyo....
 
Yeah, kusema unachoamini ni ujasiri wa hali ya juu sana......

Lakini hii haina maana kila unachokiamini na kukusema chaweza kuwa sahihi ama cha kweli na chenye manufaa!!
Na tukumbuke Rais ni binadamu kamili, Hawezi kilajambo akalikamilisha au akakifanya na matokeo yake yakawa sahihi kama alivyofikiri. Mambo mengine watarekebisha ma Rais watakao mfuata.
 
Kwa miaka mingi,Tanzania imekuwa na wanasiasa waongo,walaghai,matapeli na wanaojali matumbo yao. Mzizi wa uongo,ulaghai na utapeli ni kutozungumza ukweli. Tumempata Rais tuliyemtaka kwa miaka mingi.

Rais Magufuli si mbadilishaji au mchezeaji wa maneno. Daima amekuwa akiusema ukweli anaouamini na kuuishi hata kawa ukweli huo unachoma,unauma,unakera au unachukiza. Kusema moja kwenye mbili hana. Moja anaiita moja.

Katika hotuba zake,anapotaka kuufikisha ujumbe wake kupitia ukweli,huwataja wanaomkwaza,kumuangusha au kumfurahisha. Humsifia anayestahili na humkemea au kumpa rai anayemwangusha au anayemkwaza. Ni mkweli tu hufanya hivyo.

Daima,Rais haonyeshi uanasiasa wake kwenye mambo ya msingi kwa kuyasema asiyoyaamini. Wanasiasa wamezoea kusema na kutenda tofauti. Wamezoea kuficha ukweli na kuwaaminisha wanaowaamini kisicho cha kweli. Rais hayuko hivyo.

Nitatoa mfano. Angekuwa mwingine angeweza kutuaminisha kuwa punde tutapata Katiba mpya. Angepiga danadana kwa maneno. Rais amesema wazi msimamo wake. Ni kuwa hana mpango wa kuendelea na mchakato kwa sasa,ni heri reli ikajengwe.

Ameanika ukweli wake kuhusu mikutano ya kisiasa;watoto wanaopata ujauzito kuendelea na masomo;uzazi wa mpango;uhaba wa chakula na kadhalika. Uzuri wa kusema ukweli ni kuwa hakuna kujali mjadala unaofuata. Siasa za kitapeli ambazo zilizaa ufisadi hazina nafasi kwasasa. Hakika,we have the President we wanted!

Hapa kazi tu!
Pamoja na kusema ukweli hajawahi kutaja kwamba anajenga Chato international air port na bandari mpya inayo jengwa Chato
 
Mimi napenda mtu anayeniambia ukweli hata kama huo ukweli sikubaliani nao.

Siasa za Tanzania zilijaa unafiki mwingi sana.

Kuna mambo mengine anayoyasema Rais Magufuli sikubaliani nayo lakini ninakubali uwezo wake wa kuyasema bila unafiki.

Rais Magufuli ana mapungufu yake kama binadamu lakini ninampongeza kwenye ujasiri wa kusema ukweli kwenye masuala ambayo wanasiasa wengi wanayaogopa kwa sababu ya political collectness.
 
Kwa miaka mingi,Tanzania imekuwa na wanasiasa waongo,walaghai,matapeli na wanaojali matumbo yao. Mzizi wa uongo,ulaghai na utapeli ni kutozungumza ukweli. Tumempata Rais tuliyemtaka kwa miaka mingi.

Rais Magufuli si mbadilishaji au mchezeaji wa maneno. Daima amekuwa akiusema ukweli anaouamini na kuuishi hata kawa ukweli huo unachoma,unauma,unakera au unachukiza. Kusema moja kwenye mbili hana. Moja anaiita moja.

Katika hotuba zake,anapotaka kuufikisha ujumbe wake kupitia ukweli,huwataja wanaomkwaza,kumuangusha au kumfurahisha. Humsifia anayestahili na humkemea au kumpa rai anayemwangusha au anayemkwaza. Ni mkweli tu hufanya hivyo.

Daima,Rais haonyeshi uanasiasa wake kwenye mambo ya msingi kwa kuyasema asiyoyaamini. Wanasiasa wamezoea kusema na kutenda tofauti. Wamezoea kuficha ukweli na kuwaaminisha wanaowaamini kisicho cha kweli. Rais hayuko hivyo.

Nitatoa mfano. Angekuwa mwingine angeweza kutuaminisha kuwa punde tutapata Katiba mpya. Angepiga danadana kwa maneno. Rais amesema wazi msimamo wake. Ni kuwa hana mpango wa kuendelea na mchakato kwa sasa,ni heri reli ikajengwe.

Ameanika ukweli wake kuhusu mikutano ya kisiasa;watoto wanaopata ujauzito kuendelea na masomo;uzazi wa mpango;uhaba wa chakula na kadhalika. Uzuri wa kusema ukweli ni kuwa hakuna kujali mjadala unaofuata. Siasa za kitapeli ambazo zilizaa ufisadi hazina nafasi kwasasa. Hakika,we have the President we wanted!

Hapa kazi tu!
kwahiyo kama ni maumivu yaendelee tyuuu
 
Na tukumbuke Rais ni binadamu kamili, Hawezi kilajambo akalikamilisha au akakifanya na matokeo yake yakawa sahihi kama alivyofikiri. Mambo mengine watarekebisha ma Rais watakao mfuata.
mzee wa msoga amemwambia aendelee kukanndamiza tu
 
Kwa miaka mingi,Tanzania imekuwa na wanasiasa waongo,walaghai,matapeli na wanaojali matumbo yao. Mzizi wa uongo,ulaghai na utapeli ni kutozungumza ukweli. Tumempata Rais tuliyemtaka kwa miaka mingi.

Rais Magufuli si mbadilishaji au mchezeaji wa maneno. Daima amekuwa akiusema ukweli anaouamini na kuuishi hata kawa ukweli huo unachoma,unauma,unakera au unachukiza. Kusema moja kwenye mbili hana. Moja anaiita moja.

Katika hotuba zake,anapotaka kuufikisha ujumbe wake kupitia ukweli,huwataja wanaomkwaza,kumuangusha au kumfurahisha. Humsifia anayestahili na humkemea au kumpa rai anayemwangusha au anayemkwaza. Ni mkweli tu hufanya hivyo.

Daima,Rais haonyeshi uanasiasa wake kwenye mambo ya msingi kwa kuyasema asiyoyaamini. Wanasiasa wamezoea kusema na kutenda tofauti. Wamezoea kuficha ukweli na kuwaaminisha wanaowaamini kisicho cha kweli. Rais hayuko hivyo.

Nitatoa mfano. Angekuwa mwingine angeweza kutuaminisha kuwa punde tutapata Katiba mpya. Angepiga danadana kwa maneno. Rais amesema wazi msimamo wake. Ni kuwa hana mpango wa kuendelea na mchakato kwa sasa,ni heri reli ikajengwe.

Ameanika ukweli wake kuhusu mikutano ya kisiasa;watoto wanaopata ujauzito kuendelea na masomo;uzazi wa mpango;uhaba wa chakula na kadhalika. Uzuri wa kusema ukweli ni kuwa hakuna kujali mjadala unaofuata. Siasa za kitapeli ambazo zilizaa ufisadi hazina nafasi kwasasa. Hakika,we have the President we wanted!

Hapa kazi tu!
Buraza umesahau kuweka namba yako ya simu! Au wewe sio dokta ama prof
 
Kwa miaka mingi,Tanzania imekuwa na wanasiasa waongo,walaghai,matapeli na wanaojali matumbo yao. Mzizi wa uongo,ulaghai na utapeli ni kutozungumza ukweli. Tumempata Rais tuliyemtaka kwa miaka mingi.

Rais Magufuli si mbadilishaji au mchezeaji wa maneno. Daima amekuwa akiusema ukweli anaouamini na kuuishi hata kawa ukweli huo unachoma,unauma,unakera au unachukiza. Kusema moja kwenye mbili hana. Moja anaiita moja.

Katika hotuba zake,anapotaka kuufikisha ujumbe wake kupitia ukweli,huwataja wanaomkwaza,kumuangusha au kumfurahisha. Humsifia anayestahili na humkemea au kumpa rai anayemwangusha au anayemkwaza. Ni mkweli tu hufanya hivyo.

Daima,Rais haonyeshi uanasiasa wake kwenye mambo ya msingi kwa kuyasema asiyoyaamini. Wanasiasa wamezoea kusema na kutenda tofauti. Wamezoea kuficha ukweli na kuwaaminisha wanaowaamini kisicho cha kweli. Rais hayuko hivyo.

Nitatoa mfano. Angekuwa mwingine angeweza kutuaminisha kuwa punde tutapata Katiba mpya. Angepiga danadana kwa maneno. Rais amesema wazi msimamo wake. Ni kuwa hana mpango wa kuendelea na mchakato kwa sasa,ni heri reli ikajengwe.

Ameanika ukweli wake kuhusu mikutano ya kisiasa;watoto wanaopata ujauzito kuendelea na masomo;uzazi wa mpango;uhaba wa chakula na kadhalika. Uzuri wa kusema ukweli ni kuwa hakuna kujali mjadala unaofuata. Siasa za kitapeli ambazo zilizaa ufisadi hazina nafasi kwasasa. Hakika,we have the President we wanted!

Hapa kazi tu!
Mkuu ukweli unaouona wewe ni ushabiki. Ukweli ulingane na katiba ambayo ndiyo makubaliano yetu. Hongera zako kwa kuunga juhudi za maangamazi ya taifa.
 
Kwa miaka mingi,Tanzania imekuwa na wanasiasa waongo,walaghai,matapeli na wanaojali matumbo yao. Mzizi wa uongo,ulaghai na utapeli ni kutozungumza ukweli. Tumempata Rais tuliyemtaka kwa miaka mingi.

Rais Magufuli si mbadilishaji au mchezeaji wa maneno. Daima amekuwa akiusema ukweli anaouamini na kuuishi hata kawa ukweli huo unachoma,unauma,unakera au unachukiza. Kusema moja kwenye mbili hana. Moja anaiita moja.

Katika hotuba zake,anapotaka kuufikisha ujumbe wake kupitia ukweli,huwataja wanaomkwaza,kumuangusha au kumfurahisha. Humsifia anayestahili na humkemea au kumpa rai anayemwangusha au anayemkwaza. Ni mkweli tu hufanya hivyo.

Daima,Rais haonyeshi uanasiasa wake kwenye mambo ya msingi kwa kuyasema asiyoyaamini. Wanasiasa wamezoea kusema na kutenda tofauti. Wamezoea kuficha ukweli na kuwaaminisha wanaowaamini kisicho cha kweli. Rais hayuko hivyo.

Nitatoa mfano. Angekuwa mwingine angeweza kutuaminisha kuwa punde tutapata Katiba mpya. Angepiga danadana kwa maneno. Rais amesema wazi msimamo wake. Ni kuwa hana mpango wa kuendelea na mchakato kwa sasa,ni heri reli ikajengwe.

Ameanika ukweli wake kuhusu mikutano ya kisiasa;watoto wanaopata ujauzito kuendelea na masomo;uzazi wa mpango;uhaba wa chakula na kadhalika. Uzuri wa kusema ukweli ni kuwa hakuna kujali mjadala unaofuata. Siasa za kitapeli ambazo zilizaa ufisadi hazina nafasi kwasasa. Hakika,we have the President we wanted!

Hapa kazi tu!
Huo ndio ukweli?
 
Kwa miaka mingi,Tanzania imekuwa na wanasiasa waongo,walaghai,matapeli na wanaojali matumbo yao. Mzizi wa uongo,ulaghai na utapeli ni kutozungumza ukweli. Tumempata Rais tuliyemtaka kwa miaka mingi.

Rais Magufuli si mbadilishaji au mchezeaji wa maneno. Daima amekuwa akiusema ukweli anaouamini na kuuishi hata kawa ukweli huo unachoma,unauma,unakera au unachukiza. Kusema moja kwenye mbili hana. Moja anaiita moja.

Katika hotuba zake,anapotaka kuufikisha ujumbe wake kupitia ukweli,huwataja wanaomkwaza,kumuangusha au kumfurahisha. Humsifia anayestahili na humkemea au kumpa rai anayemwangusha au anayemkwaza. Ni mkweli tu hufanya hivyo.

Daima,Rais haonyeshi uanasiasa wake kwenye mambo ya msingi kwa kuyasema asiyoyaamini. Wanasiasa wamezoea kusema na kutenda tofauti. Wamezoea kuficha ukweli na kuwaaminisha wanaowaamini kisicho cha kweli. Rais hayuko hivyo.

Nitatoa mfano. Angekuwa mwingine angeweza kutuaminisha kuwa punde tutapata Katiba mpya. Angepiga danadana kwa maneno. Rais amesema wazi msimamo wake. Ni kuwa hana mpango wa kuendelea na mchakato kwa sasa,ni heri reli ikajengwe.

Ameanika ukweli wake kuhusu mikutano ya kisiasa;watoto wanaopata ujauzito kuendelea na masomo;uzazi wa mpango;uhaba wa chakula na kadhalika. Uzuri wa kusema ukweli ni kuwa hakuna kujali mjadala unaofuata. Siasa za kitapeli ambazo zilizaa ufisadi hazina nafasi kwasasa. Hakika,we have the President we wanted!

Hapa kazi tu!
Siyo kama Mbowe mwongo mwongo!
 
Back
Top Bottom