Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Vipi hapo chato uchumi wa kati ukoje??!!Kumbe chato ni chumbani kwako?
Kwanza mleta mada unakosea sana unaposema watanzania!
Sema kundi la wahuni wa chadema.
Vipi hapo chato uchumi wa kati ukoje??!!Kumbe chato ni chumbani kwako?
Kwanza mleta mada unakosea sana unaposema watanzania!
Sema kundi la wahuni wa chadema.
Pamoja paul sylvester 5tenaMkuu, Magufuli anabebwa na Wananchi wengi,ni wachache mno mliokuwa manavuna hata mahali msipopanda Ndiyo mnaolopoka kwenye mitandao na Ndiyo hao wanaomchukia, Wale wanyonge waliokuwa wanaishi Kwa utashi wa wanyonyaji wachache, ndio watakaompa Kura za ushindi wa kimbunga JPM na Mimi nikiwemo
Asubuhi saa 4 tushatamgaza ushindi wa JPM burudoza
Majina ya Yesu mara Musa ni watu na habari za kusadikika zusizo na uthibitisho,usifanye arguments kwa kutolea mifano hiyo.Yesu Kristo hakukubalika kwao (Siyo wote waliomkataa) wakamuua akaleta ukombozi, Musa hakukubalika wana waislael ( Siyo wote waliomkataa) walitamani warudi utumwani misri ila mungu akamuongoza musa akawatoa huko kwenye shida, Sasa kwa Tanzania Mungu ametuletea Kiongozi mwenye maono na uchungu wa watanzania wanyonge wanaoonewa kwa kunyonywa na mabeberu, sasa wale jamaa zetu ambao mirija imekatwa wanahaha wanafanya kila hila ili wamchafue, lakini mungu anazidi kusema na watanzania kwa kuona matendo yake, machozi yanatutoka tunajifuta na kusema hakika huyu ndiye tuliyekuwa tukimsubili na 28/octoba/2020 kura zote zinasoma kwakwe 98% ya kura Ni ndiyo kwa CCM na kauli mbiu yetu KAZI INAENDELEA...
Kwamba Watu wanamchukia Magufuli? Kwamba Watu wakitofautiana mtazamo na CcM ni wapiga deal? Aagh wapi! Waelewe hao hao tu! Tusichonganishe watu, maneno yenu haya hayana maana wala hayasaidiiNilichoandika mimi kuna waliokielewa sana na Kuna waliokielewa ila wanakataa ukweli sababu wanataka niandike wanachokitaka wao
Acha woga basi... kwani rais John Pombe Magufuli amekufanya nini mbaya??Mtani, mbona kama umepaniki?
Hahaha sijachonganisha ila sijaongea ulichokitaka. PoleKwamba Watu wanamchukia Magufuli? Kwamba Watu wakitofautiana mtazamo na CcM ni wapiga deal? Aagh wapi! Waelewe hao hao tu! Tusichonganishe watu, maneno yenu haya hayana maana wala hayasaidii
Kanifanya nini wapi? Woga wa nini? Aagh naona unajibu kwa jazba.Acha woga basi... kwa John Pombe Magufuli amekufanya nini??
Mambo ya analysis waachie wajuzi wafanye, majitu majinga huwa mnapaswa kushangilia tuu.Magufuli hakubalik kwa Wahuni pekee kwa Wenye macho na wenye Akili timamu wanamukubali Sana Tena Sana.
Nenda hata YouTube search watu Kama kina Mbowe na Zitto Kabwe uone wanavyo mkubali Rais Magufuli (Ref: speach zao walipotembelewa na Rais Magufuli Majimbon kwao).
Hiki unachokiona hapa jf na huko Kwenye mitandao mingine ni unafiki maana ndo tabia ya Watanzania.
Mungu hawezi kusikia sala za WachonganishiHahaha sijachonganisha ila sijaongea ulichokitaka. Pole
Mungu ibariki Tanzania
Hahaha JAZBA Ikowapi😂😂😂Kanifanya nini wapi? Woga wa nini? Aagh naona unajibu kwa jazba.
Tutajie hayo yaliyojificha tuyajue.Kwa kifupi tu magu ameboronga katika mambo mengi sana ila tu anabebwa na dola. Kuna yaliyojificha mengi ambayo hayapendezi hata machoni pa mwananchi wa kawaida, ndiyo yatakayomgharimu mwaka huu, na ulimwengu utashangaa.
Ooh, ndo anachomaanisha. Sawa.98% si kwa kura, bali ni kwa maagizo kwenda tume isiyo huru ya uchaguzi.
Mungu hapangiwi ila anaombwa.Mungu hawezi kusikia sala za Wachonganishi
Hahahaha sijawahi kuwa na hasira na comments za Watu, najua maana ya mjadala! Sijawahi kuogopa na sitakaa niogope etiHahaha JAZBA Ikowapi😂😂😂
Kama hajakufanya kitu mbaya basi mwache. Usiogope. Usiwe na hasira na comments za wengine
Usikimbilie kwa "Rais wenu"Mungu hapangiwi ila anaombwa.
Sasa wakati wewe unampangia amsikilize nani na asikilize nini, Mimi namwomba atulindie rais wetu😍
Ukiweza kuwa kama ulivyoandika hapo juu toka moyoni itakusaidia sanaHahahaha sijawahi kuwa na hasira na comments za Watu, najua maana ya mjadala! Sijawahi kuogopa na sitakaa niogope eti
Usikimbilie kwa "Rais wenu"
HakikaMagufuli hakubalik kwa Wahuni pekee kwa Wenye macho na wenye Akili timamu wanamukubali Sana Tena Sana.
Nenda hata YouTube search watu Kama kina Mbowe na Zitto Kabwe uone wanavyo mkubali Rais Magufuli (Ref: speach zao walipotembelewa na Rais Magufuli Majimbon kwao).
Hiki unachokiona hapa jf na huko Kwenye mitandao mingine ni unafiki maana ndo tabia ya Watanzania.