chief_
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 831
- 1,390
Aisee..Ni kweli ni mtu wa Mungu, na ndio maana kamchukua anampenda sana.
Mpendwa nimecheka mnoo mpaka watu wananishangaa.inatakiwa ndugu wakukamate kinguvu upelekwe milembe shoga angu
Hata kama amefariki lazima tuseme ili waliopo wajifunzeWasiompenda JPM ni wale wachawi, wenye hirizi na majini kwasababu JPM alikua mtu wa Mungu hawezi kupendwa na wachawi.
Wala usijihangaishe ukiona mtu hampendi JPM au alikua hampendi JPM ujue ni mchawi. Wale wote wenye hirizi viunoni hawawezi kumpenda JPM hata mara moja kwasababu JPM alikua akihubiri habari za Mungu.
Mchawi yeyote huwa hapendi mtu anayehubiri habari za Mungu. Mchawi yeyote hufurahi mhubiri wa habari za Mungu anapokufa.
Watu wenye mapepo hawawezi kumpenda JPM hata mara moja. Mimi naelewa sana jinsi haya mambo yalivyo. Kuna watu wamepata vyeo kwa kutumia hirizi na wengine wamepata uongozi kwa kupitia mapepo. Na wengine wamepata uongozi kwa kupitia majini. Kuna watu wamefuga majini sasa watampendaje mtu anayehubiri ufalme wa Mungu.
Hayo yalisha nitokea sana nikiwa nahubiri na kuitangaza injili.
Jaribu kutafakari kwenye mkutano wa JPM hakuwezi kukosa watu wenye hirizi viuoni. Sasa akisema Mungu hoyee hirizi zinaanza kushituka.
Hata Petro na Yohan walipokuwa wakitaja juu ya ukuu wa Mungu walipata upinzani mkubwa kutoka kwa wachawi. Wachawi hawakupenda zile habari za akina Petro na Yohan zilizokuwa zikitaja juu ya ukuu wa Mungu zikiambatana na nguvu ya Mungu aliyeziumba mbingu na nchi.
Mataga wenzio sio? Hamishia huu uzi chatoAmbao uzi unawahusu walisha jitokeza tayari.
Wasiompenda JPM ni wale wachawi, wenye hirizi na majini kwasababu JPM alikua mtu wa Mungu hawezi kupendwa na wachawi.
Wala usijihangaishe ukiona mtu hampendi JPM au alikua hampendi JPM ujue ni mchawi. Wale wote wenye hirizi viunoni hawawezi kumpenda JPM hata mara moja kwasababu JPM alikua akihubiri habari za Mungu.
Mchawi yeyote huwa hapendi mtu anayehubiri habari za Mungu. Mchawi yeyote hufurahi mhubiri wa habari za Mungu anapokufa.
Watu wenye mapepo hawawezi kumpenda JPM hata mara moja. Mimi naelewa sana jinsi haya mambo yalivyo. Kuna watu wamepata vyeo kwa kutumia hirizi na wengine wamepata uongozi kwa kupitia mapepo. Na wengine wamepata uongozi kwa kupitia majini. Kuna watu wamefuga majini sasa watampendaje mtu anayehubiri ufalme wa Mungu.
Hayo yalisha nitokea sana nikiwa nahubiri na kuitangaza injili.
Jaribu kutafakari kwenye mkutano wa JPM hakuwezi kukosa watu wenye hirizi viuoni. Sasa akisema Mungu hoyee hirizi zinaanza kushituka.
Hata Petro na Yohan walipokuwa wakitaja juu ya ukuu wa Mungu walipata upinzani mkubwa kutoka kwa wachawi. Wachawi hawakupenda zile habari za akina Petro na Yohan zilizokuwa zikitaja juu ya ukuu wa Mungu zikiambatana na nguvu ya Mungu aliyeziumba mbingu na nchi.
Halafu 'MAPEPO' yake yanabana pua na kusema alikuwa 'Mtumishi' wa MUNGU..
Daha itakuwa saa nane nini? Shetani hili bora lilikufa tuNiliwahi kutana na mwanajeshi mmoja mtwara, mwanzoni mwa 2018, anasema waliwahi kwenda mteka jamaa mmoja nyumbani kwake usiku na wakampeleka kwa jamaa ikulu, akamdhihaki sana alafu akawaambia wakammalize.
not saanane... by then saa nane was long gone kama alivyoelezea kabudiDaha itakuwa saa nane nini? Shetani hili bora lilikufa tu
Nikumbushe: wakati Imrani kombe anatangullizwa,Adadi R alikuwa nani ki usalama
Dooh!Niliwahi kutana na mwanajeshi mmoja mtwara, mwanzoni mwa 2018, anasema waliwahi kwenda mteka jamaa mmoja nyumbani kwake usiku na wakampeleka kwa jamaa ikulu, akamdhihaki sana alafu akawaambia wakammalize.
Uwaji wote aliufanya, ubabe, kiburi na kuminya uhuru wa watu, wizi wa kura unafikiri Mungu angemwacha hivi hivi.Wasiompenda JPM ni wale wachawi, wenye hirizi na majini kwasababu JPM alikua mtu wa Mungu hawezi kupendwa na wachawi.
Wala usijihangaishe ukiona mtu hampendi JPM au alikua hampendi JPM ujue ni mchawi. Wale wote wenye hirizi viunoni hawawezi kumpenda JPM hata mara moja kwasababu JPM alikua akihubiri habari za Mungu.
Mchawi yeyote huwa hapendi mtu anayehubiri habari za Mungu. Mchawi yeyote hufurahi mhubiri wa habari za Mungu anapokufa.
Watu wenye mapepo hawawezi kumpenda JPM hata mara moja. Mimi naelewa sana jinsi haya mambo yalivyo. Kuna watu wamepata vyeo kwa kutumia hirizi na wengine wamepata uongozi kwa kupitia mapepo. Na wengine wamepata uongozi kwa kupitia majini. Kuna watu wamefuga majini sasa watampendaje mtu anayehubiri ufalme wa Mungu.
Hayo yalisha nitokea sana nikiwa nahubiri na kuitangaza injili.
Jaribu kutafakari kwenye mkutano wa JPM hakuwezi kukosa watu wenye hirizi viuoni. Sasa akisema Mungu hoyee hirizi zinaanza kushituka.
Hata Petro na Yohan walipokuwa wakitaja juu ya ukuu wa Mungu walipata upinzani mkubwa kutoka kwa wachawi. Wachawi hawakupenda zile habari za akina Petro na Yohan zilizokuwa zikitaja juu ya ukuu wa Mungu zikiambatana na nguvu ya Mungu aliyeziumba mbingu na nchi.
Jina tukufu? Bado tu mnaendekea kutukuza liuwaji lile? Siku matukio yote aliyoyafanya yakiwekwa hadarani mtashangaa sana.Ala hawa wachawi waliua Azori,ben, na kuteka,kupiga risas watu. Ili wamsingizie kipenzi watz Yohanna(JPM). Lakin Yohana aliwabatiza mafisadi,mabaguzi,vibaraka. Mwamba awesepa wanaanza kuchafua kivuli chake. Watakufa kifo kibaya sana hawa washirikina. Kila ataye LItaja VIBAYAjina tukufu la DR.JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI 2025 harudi mbungeni
Kichwani zimo kweli weweWasiompenda JPM ni wale wachawi, wenye hirizi na majini kwasababu JPM alikua mtu wa Mungu hawezi kupendwa na wachawi.
Wala usijihangaishe ukiona mtu hampendi JPM au alikua hampendi JPM ujue ni mchawi. Wale wote wenye hirizi viunoni hawawezi kumpenda JPM hata mara moja kwasababu JPM alikua akihubiri habari za Mungu.
Mchawi yeyote huwa hapendi mtu anayehubiri habari za Mungu. Mchawi yeyote hufurahi mhubiri wa habari za Mungu anapokufa.
Watu wenye mapepo hawawezi kumpenda JPM hata mara moja. Mimi naelewa sana jinsi haya mambo yalivyo. Kuna watu wamepata vyeo kwa kutumia hirizi na wengine wamepata uongozi kwa kupitia mapepo. Na wengine wamepata uongozi kwa kupitia majini. Kuna watu wamefuga majini sasa watampendaje mtu anayehubiri ufalme wa Mungu.
Hayo yalisha nitokea sana nikiwa nahubiri na kuitangaza injili.
Jaribu kutafakari kwenye mkutano wa JPM hakuwezi kukosa watu wenye hirizi viuoni. Sasa akisema Mungu hoyee hirizi zinaanza kushituka.
Hata Petro na Yohan walipokuwa wakitaja juu ya ukuu wa Mungu walipata upinzani mkubwa kutoka kwa wachawi. Wachawi hawakupenda zile habari za akina Petro na Yohan zilizokuwa zikitaja juu ya ukuu wa Mungu zikiambatana na nguvu ya Mungu aliyeziumba mbingu na nchi.
Duuh!!Niliwahi kutana na mwanajeshi mmoja mtwara, mwanzoni mwa 2018, anasema waliwahi kwenda mteka jamaa mmoja nyumbani kwake usiku na wakampeleka kwa jamaa ikulu, akamdhihaki sana alafu akawaambia wakammalize.