Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Wanajamvi hivi watu wanao msifia Magufuli kwamba anapiga kazi sana wanaangalia targets vs Achievements au Budget approved vs pesa iliyokuwa disbursed kwenda kuchapa hiyo kazi au wao kigezo Chao pekee ni propoganda za jamaa kwenye majukwaa?
Mfano juzi kasema kajenga barabara za urefu wa kikomita 3000+ Kuna mtu anayeweza kunisaidia kujua angalau barabara moja yenye urefu angalau wa kilometer Mia iliyojengwa na Magufuli from the word go?
Mimi naijua moja tu tena yenye kilometer 17 but five good years bado haijakamikika
Mfano juzi kasema kajenga barabara za urefu wa kikomita 3000+ Kuna mtu anayeweza kunisaidia kujua angalau barabara moja yenye urefu angalau wa kilometer Mia iliyojengwa na Magufuli from the word go?
Mimi naijua moja tu tena yenye kilometer 17 but five good years bado haijakamikika