Rais Magufuli, Ni kigezo gani kilitumika kurudi kwa Muhongo kwenye uwaziri?

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,954
48,751
Tumezoea kuona uvunjaji wa katiba na sheria kutoka kwa utawala wa awamu ya 5.

Hivi kwanini kunyoosha nchi kusianzie kwenye mikataba mibovu?

Muhongo alifukuzwa kwa sababu ya escrow scandal na Tibaijuka kwa escrow scandal.

Sasa kwa nini Muhongo arudi kwenye baraza wakati Tibaijuka hakurudi? Au kwa vile yeye na wengine walichotea pesa Stanibic bank na hawakutajwa?

Leo hii IPTL inalipwa milioni 400 kwa siku halafu wananchi wanapandishiwa umeme kwa asilimia 8.5 Muhongo akiwa ndiye msimamizi wa kuongezeka kwa umeme huo bila sababu yeyote ya msingi .

Wakati IPTL wanajulikana ni wezi na wasumbufu wa nchi hii walifanikiwa kuchota bilioni 320 kutoka tegeta escrow.

Halafu waliosababisha wakina muhongo upo nao kwenye cabinet tena kibaya zaidi wizara hiyo hiyo..

Halafu unategemea jipya wakati huyu jamaa ndio alisema pesa si za umma. Sasa kama pesa hazikuwa za umma kwanini zinataka kulipwa Mara mbili tena chini ya Tanesco ambayo ni shirika la umma?.

Hivi Rais anapambana na wizi upi wakati wezi ndio hawa wanatamba mtaani.

Nyoosha nchi kwa kuwakamata matapeli wa nchii hii wanajulikana

Sio kuangaika na Lema na Max

Mafisadi yamekushinda.
Democrasia limekushinda
Uchumi umekushinda
Mikopo kwa vijana wetu imekushinda
Ajira zimekushinda.

Yaani kila kitu ni hovyo hovyo tu ndani ya serikali nyoosha nchi kwa kuyakamata mafisadi acha kulilia na wezi..
 
Tumezoea kuona uvunjaji wa katiba na sheria kutoka kwa utawala wa awamu ya 5.

Hivi kwanini kunyoosha nchi kusianzie kwenye mikataba mibovu?

Muhongo alifukuzwa kwa sababu ya escrow scandal na Tibaijuka kwa escrow scandal.

Sasa kwa nini Muhongo arudi kwenye baraza wakati Tibaijuka hakurudi? Au kwa vile yeye na wengine walichotea pesa Stanibic bank na hawakutajwa?

Leo hii IPTL inalipwa milioni 400 kwa siku halafu wananchi wanapandishiwa umeme kwa asilimia 8.5 Muhongo akiwa ndiye msimamizi wa kuongezeka kwa umeme huo bila sababu yeyote ya msingi .

Wakati IPTL wanajulikana ni wezi na wasumbufu wa nchi hii walifanikiwa kuchota bilioni 320 kutoka tegeta escrow.

Halafu waliosababisha wakina muhongo upo nao kwenye cabinet tena kibaya zaidi wizara hiyo hiyo..

Halafu unategemea jipya wakati huyu jamaa ndio alisema pesa si za umma. Sasa kama pesa hasikuwa za umma kwanini zinataka kulipwa Mara mbili tena chini ya Tanesco ambayo ni shirika la umma?.

Hivi Rais anapambana na wizi upi wakati wezi ndio hawa wanatamba mtaani.

Nyoosha nchi kwa kuwakamata matapeli wa nchii hii wanajulikana

Sio kuangaika na Lema na Lema.

Mafisadi yamekushinda.
Democrasia limekushinda
Uchumi umekushinda
Mikopo kwa vijana wetu imekushinda
Ajira zimekushinda.

Yaani kila kitu ni hovyo hovyo tu ndani ya serikali yako nyoosha nchi kwa kuyakamata mafisadi acha kulilia na wezi..
tech, kwani hapa kuna technical/professional vigezo vinavyotumiwa nchi hii in all fields? Subiri Ole S anaweza kuwa Chief Justice!
 
Nafikiri ni kwa7b Muhongo ndio professor pekee ambae u professor wake una uhusiano na wizara aliopewa yaani ni taaluma by professional
 
Tumezoea kuona uvunjaji wa katiba na sheria kutoka kwa utawala wa awamu ya 5.

Hivi kwanini kunyoosha nchi kusianzie kwenye mikataba mibovu?

Muhongo alifukuzwa kwa sababu ya escrow scandal na Tibaijuka kwa escrow scandal.

Sasa kwa nini Muhongo arudi kwenye baraza wakati Tibaijuka hakurudi? Au kwa vile yeye na wengine walichotea pesa Stanibic bank na hawakutajwa?

Leo hii IPTL inalipwa milioni 400 kwa siku halafu wananchi wanapandishiwa umeme kwa asilimia 8.5 Muhongo akiwa ndiye msimamizi wa kuongezeka kwa umeme huo bila sababu yeyote ya msingi .

Wakati IPTL wanajulikana ni wezi na wasumbufu wa nchi hii walifanikiwa kuchota bilioni 320 kutoka tegeta escrow.

Halafu waliosababisha wakina muhongo upo nao kwenye cabinet tena kibaya zaidi wizara hiyo hiyo..

Halafu unategemea jipya wakati huyu jamaa ndio alisema pesa si za umma. Sasa kama pesa hasikuwa za umma kwanini zinataka kulipwa Mara mbili tena chini ya Tanesco ambayo ni shirika la umma?.

Hivi Rais anapambana na wizi upi wakati wezi ndio hawa wanatamba mtaani.

Nyoosha nchi kwa kuwakamata matapeli wa nchii hii wanajulikana

Sio kuangaika na Lema na Lema.

Mafisadi yamekushinda.
Democrasia limekushinda
Uchumi umekushinda
Mikopo kwa vijana wetu imekushinda
Ajira zimekushinda.

Yaani kila kitu ni hovyo hovyo tu ndani ya serikali yako nyoosha nchi kwa kuyakamata mafisadi acha kulilia na wezi..


Tibaijuka ni muhaya ndiyo maana hajarudi huoni kwenye rambirambi hakwenda
 
Tofauti ni kuwa huyu wa sasa ni mweusi na yule aliepita alikuwa mweupe lakini hawa wote ni watoto wa baba mmoja na wote wamerithi tabia za baba yao.
 
tech, kwani hapa kuna technical/professional vigezo vinavyotumiwa nchi hii in all fields? Subiri Ole S anaweza kuwa Chief Justice!
Ni kweli prof ni professional by ni mwizi na yeye kala pesa za escrow sizani kama anakwepa hili.....
 
Prof, Muhongo tumia jicho la 3 kumulika, kuna hujuma na mchezo mchafu wenye rafu nyingi unachezewa. Jifungie ndani na wataalamu wako futa ongezeko la bei ya umeme mara moja.
Bado ninaimani na utendaji wako lakini hili la kupandisha umeme siko pamoja na wewe.
 
Nchi imefika pabaya, wanatubana wanyonge kila kona na ukilalamika tu kuwa maisha yamekua magumu wanakubambika jina kuwa wewe fisadi ulizoea fedha za dili. Dili gani hapa wakati maisha yamepanda na salary haijaongezeka zaidi inapungua kwa kuchukuliwa na bodi ya mikopo. Tukubali maisha magumu kwa wote
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom