johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,872
Kiukweli kila nikimtazama Rais Magufuli naona dhahiri amevuka level ya siasa za vyama na sasa anaitumikia nchi katika mustakabali mpana.
Kwa namna anavyoenenda ni ukweli ulio wazi Rais Magufuli anatumikia maslahi ya nchi japo kwa kuongozwa na Ilani ya CCM lakini kwa ubunifu binafsi wa kuleta maendeleo kwa haraka.
Nimetoka kuzipitia ilani za uchaguzi za ACT wazalendo, NCCR Mageuzi, TLP, Chadema na CUF ni dhahiri malengo yote ya maendeleo yaliyoainishwa kwenye ilani hizo yameshafikiwa.
Kwa upande wa ilani ya CCM ambayo imebeba mambo makubwa zaidi yenyewe imetekelezwa kwa takribani 99%
Sasa kwenye ubunifu binafsi hapo mwenye macho haambiwi tazama, miradi yote imeshika kasi na hapa ndipo wabunge wengi hata kama hawaipendi CCM lakini Juhudi za Rais Magufuli wameziona na kwa hiyari yao wameamua kumuunga mkono ama kupitia hiyo hiyo CCM au NCCR Mageuzi na hata TLP.
TLP wao wameshamteua Dr Magufuli kuwa mgombea wao wa urais.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa namna anavyoenenda ni ukweli ulio wazi Rais Magufuli anatumikia maslahi ya nchi japo kwa kuongozwa na Ilani ya CCM lakini kwa ubunifu binafsi wa kuleta maendeleo kwa haraka.
Nimetoka kuzipitia ilani za uchaguzi za ACT wazalendo, NCCR Mageuzi, TLP, Chadema na CUF ni dhahiri malengo yote ya maendeleo yaliyoainishwa kwenye ilani hizo yameshafikiwa.
Kwa upande wa ilani ya CCM ambayo imebeba mambo makubwa zaidi yenyewe imetekelezwa kwa takribani 99%
Sasa kwenye ubunifu binafsi hapo mwenye macho haambiwi tazama, miradi yote imeshika kasi na hapa ndipo wabunge wengi hata kama hawaipendi CCM lakini Juhudi za Rais Magufuli wameziona na kwa hiyari yao wameamua kumuunga mkono ama kupitia hiyo hiyo CCM au NCCR Mageuzi na hata TLP.
TLP wao wameshamteua Dr Magufuli kuwa mgombea wao wa urais.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!