Rais Magufuli: Natamani Malaika ashuke na aifungie mitandao ya kijamii

Kisu Cha Ngariba

JF-Expert Member
Jun 21, 2016
22,137
48,808
''Natamani malaika ashuke azime mitandao ya kijamii, irudi baada ya mwaka 1 ikute hatua kubwa za kimaendeleo tulizopiga''. Ni kauli ya Rais Magufuli.



Ameyasema hayo leo wakati wa uzinduzi wa ndege mbili aina ya Bombadier Q400, ambazo zimewasili nchini rasmi kutoka nchini Canada.

Amesema kwenye mitandao ya kijamii watu wengi wanaandika bila kuwa na taarifa sahihi. Amesema, "No research no right to speak"

 
Back
Top Bottom