Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,887
- 143,983
Mheshimiwa,mimi mwanachi wako napenda kupata update ya hatua ulizochukua kuhusu mapendekezo ya zile kamati mbili za makinikia pamoja na ile iliyohusika kuchunguza madini ya Tanzanite.
Nakumbuka ulituahidi kuwa mapendekezo yote ya zile kamati umeyakubali hivyo tunapenda kujua utekelezaji ukoje ikiwemo hatua ulizochukua kwa wahusika waliotajwa katika ripoti zile.
Kama umesamehe basi ni vizuri utujulishe, ila kumbuka kauli yako kuwa, "wanaovunja sheria, wataishia jela".
Ni hayo tu Mheshimiwa.
Waandishi/wahariri hebu muwe mnakumnusha umma kuhusu haya mambo.
Mbali na waandishi,hata wapinzani mnaweza kuita waandishi na kupitia wao, mkawa na utamaduni wa kumuhoji Raisi kwa yale aliyoahidi kuyafanya.
Nakumbuka ulituahidi kuwa mapendekezo yote ya zile kamati umeyakubali hivyo tunapenda kujua utekelezaji ukoje ikiwemo hatua ulizochukua kwa wahusika waliotajwa katika ripoti zile.
Kama umesamehe basi ni vizuri utujulishe, ila kumbuka kauli yako kuwa, "wanaovunja sheria, wataishia jela".
Ni hayo tu Mheshimiwa.
Waandishi/wahariri hebu muwe mnakumnusha umma kuhusu haya mambo.
Mbali na waandishi,hata wapinzani mnaweza kuita waandishi na kupitia wao, mkawa na utamaduni wa kumuhoji Raisi kwa yale aliyoahidi kuyafanya.