Ndo ukubwa jalala huo,adili ni kuuwa vyama,bado kuna upinzani wa mitandao na maandamano, huku adili na makanisa,na magazeti vyombo vya habari, akidhibiti moja yanaibuka mengine, mtamzeesha bureMagufuli kazi anayo,apambane na upinzani huku tena kuna wanaompa kazi afute makanisa yaani alimradi imekuwa vurugu.
Kuna hili la maandamano ya mtandaoni basi ndo anazidi kuchanganyikiwa akili.wananchi jifunzeni kuvumiliana kwenye hizo imani zenu.
Ni ushabiki maandazi tu wa baadhi ya watu, na huenda wanamchochea mkuu ili azidi kuchukiwa na watu, hawana nia njema hawaMagufuli kazi anayo,apambane na upinzani huku tena kuna wanaompa kazi afute makanisa yaani alimradi imekuwa vurugu.
Kuna hili la maandamano ya mtandaoni basi ndo anazidi kuchanganyikiwa akili.wananchi jifunzeni kuvumiliana kwenye hizo imani zenu.