Rais Magufuli mwezi huu tunaelekea mwisho wa mwaka. Mimi nachukua nafasi hii kukupongeza kwa kazi nzuri...nakuombea kwa mwenyezi mungu uendelee hv hv bila kurudi nyuma. Mwaka tu mambo mengi umeyaweka sawa mfano shirika letu la ndege limerudi, heshima kazi sasa ipo, mtaani nako watu wana adabu ya matumizi ya pesa,utii wa sheria uko juu sasa, keki yetu tunaiona. Umeme haukatikikatiki ovyo kama zamani, kuwa na ndege sita ulizosema ni heko kwa sisi watz wazalendo.
Tumeona mambo unavyoyashugulikia bila aibu, bila uoga bila kumuonea mtu. Nchi yetu kidogo ilikuwa inaelekeaa kwenye matabaka mawili tajiri na masikini leo hii hata tajiri anaadabu fulani ambayo haikuwepo.
Kuna mambo mengi sana umeyafanya kwa muda wa mwaka mmoja huu japo binadamu wengine hata ukiwapa nyumba bado wataendelea kuona kama hakuna jema. We endelea kuchapa kazi.
Nasema heko RAIS wetu najivunia leo kuitwa mtz hata nikiwa kenya uganda n.k leo hii tembo wetu hawauwawi ovyo ovyo. Matumizi serikalini yanaenda kwa nidhamu na kwa bajeti.
Tukiendelea hv hv TZ hii itakuwa mbali sana baada ya miaka 5.
Watz wenzangu tumuunge mkono rais wetu.
Tanzania kwanza. Vyama baadae
Tumeona mambo unavyoyashugulikia bila aibu, bila uoga bila kumuonea mtu. Nchi yetu kidogo ilikuwa inaelekeaa kwenye matabaka mawili tajiri na masikini leo hii hata tajiri anaadabu fulani ambayo haikuwepo.
Kuna mambo mengi sana umeyafanya kwa muda wa mwaka mmoja huu japo binadamu wengine hata ukiwapa nyumba bado wataendelea kuona kama hakuna jema. We endelea kuchapa kazi.
Nasema heko RAIS wetu najivunia leo kuitwa mtz hata nikiwa kenya uganda n.k leo hii tembo wetu hawauwawi ovyo ovyo. Matumizi serikalini yanaenda kwa nidhamu na kwa bajeti.
Tukiendelea hv hv TZ hii itakuwa mbali sana baada ya miaka 5.
Watz wenzangu tumuunge mkono rais wetu.
Tanzania kwanza. Vyama baadae