Tangu uingie madarakani, haujawahi kuhutubia taifa live kupitia vyombo vya habari, badala yake umekuwa ukitoa salaam kupitia msemaji wako. Hali hii haijengi umoja na mshikamano.
Tofauti na watangulizi wako, haujawahi kutoa hotuba ya kila mwisho wa mwezi badala yake hotuba zako ni za majikwaani tu.
Naomba mwaka huu wa TANO wa uongozi wako uoneshe tofauti na Mungu atakubariki.
Ushindani uliopo ndani na nje ya chama ni mkubwa sana. Huenda 2020 usirudi Magogoni, maana ikulu kuhamia Dodoma siyo miaka hii, watahamia wengine ila siyo Rais. Kwahiyo ni vyema mwaka uliobaki ukautumia vizuri kurekebisha penye kasoro na kuboresha zaidi pale panapoenda vizuri.
HERI YA KRISMAS NA MWAKA MPYA.
......UPDATES.....
January 01, 2020 saa 12:00pm
Rais amegoma kabisa kulihutubia Taifa. Si kwa maandishi wala kwa mdomo 'live'.
Hii ni mpya kabisa, haijawahi kutokea ashindwe kutuma salamu za mwaka mpya kwa maandishi.
Je, hana jipya?
Je, hapendi wananchi?
JE KUNA HAJA YA KUMUONGEZEA MUHULA MWINGINE?
Tofauti na watangulizi wako, haujawahi kutoa hotuba ya kila mwisho wa mwezi badala yake hotuba zako ni za majikwaani tu.
Naomba mwaka huu wa TANO wa uongozi wako uoneshe tofauti na Mungu atakubariki.
Ushindani uliopo ndani na nje ya chama ni mkubwa sana. Huenda 2020 usirudi Magogoni, maana ikulu kuhamia Dodoma siyo miaka hii, watahamia wengine ila siyo Rais. Kwahiyo ni vyema mwaka uliobaki ukautumia vizuri kurekebisha penye kasoro na kuboresha zaidi pale panapoenda vizuri.
HERI YA KRISMAS NA MWAKA MPYA.
......UPDATES.....
January 01, 2020 saa 12:00pm
Rais amegoma kabisa kulihutubia Taifa. Si kwa maandishi wala kwa mdomo 'live'.
Hii ni mpya kabisa, haijawahi kutokea ashindwe kutuma salamu za mwaka mpya kwa maandishi.
Je, hana jipya?
Je, hapendi wananchi?
JE KUNA HAJA YA KUMUONGEZEA MUHULA MWINGINE?