Mr Morogoro
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 1,246
- 1,727
Issue sio watu kalalamika,hoja hapo ni watu wanalalamika nini??wanacholalamikia kina ukweli??...so kwa iyo kwa kuwa ni kawaida watu kulalamika unataka watu wasilalamike wanapoona maswala ya kubambikiziana kesi....utekaji na kubambikiana kesi ni uhuni wa kishambaMimi na amini hata ukatoka hapo nje now na kuanza kugawa IST bure, bado watu watalalamika.
Mara kwanini IST kama unajiona una hela ungetupa RAV4, Hela ya mafuta je? Si bora ungenipa mtaji kuliko gari, unanipaga gari hujailipia bima bwana, n.k.
Ubinadamu shida...