Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Angalau tupeni muda wa kupumua na kutafakari kidogo, kwa maana haya maendeleo mnayotuletea yanatuzidi sasa, hili hatulijalizoea tayari mmeshafunika lile, kabla ATCL hata hatujaizoea tayari TTCL ina take off kwa fujo, karibia tunayachoka maendeleo sasa, duh!