Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,861
Rais Magufuli leo akiwa na mgeni wake, Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera wanaweka jiwe la msingi kituo kikuu cha mabasi ya mikoani inayoendelea kujengwa eneo la Mbezi Louis, Dar es Salaam.
===
MAGUFULI: Mkataba ulikuwa umalizike mwezi wa saba, leo ni mwezi wa kumi na waziri alikuwa anazungumza hapa wanatakiwa kukabidhi mwezi wa kwanza, this is not fair kwa sababu kuanzi mwezi wa saba mpaka mwezi wa kwanza ni miezi minne.
Palitakiwa watu wanafanya kazi hapa wanaingiza pesa, palitakiwa hiyo deployment ya watu 10 iwe hapa katika kipindi cha miezi minne, hiyo miezi minne nani atakaelipa hizo fedha na kuzifidia na ndio maana nalisema hili, mradi ni mzuri lakini utekelezaji wake ni very poor na hili nalizungumza mbele ya rafiki yangu, mheshimiwa Rais wa Malawi.
Haiwezekani watu watafute visingizio vya Korona, kwanza effect ya korona katika nchi hii ni so minimal kwa hiyo kandarasi alitakiwa awe hapa na mheshimiwa waziri huyu contractor aanze kukatwa pesa za kuchelewa kukabidhi mradi.
Tukienda kwa utaratibu huu, miradi mingi itachelewa na mimi nimeumbwa kusema ukweli kwa sababu msema kweli ni mpenzi wa Mungu na ninazungumza mbele ya baba askofu mstaafu, Dr. Lazarus Chakwera. Haiwezekani, hawa makandarasi Hernan is a good contractor but you have delayed the project, we cant tolerate that stupid thing.
Ifike mahali viongozi wa Dar es Salaam mlielewe hili, hizi ni fedha za watanzania masikini, wamewekeza hapa ili kusudi wapate faida ya mradi huu kwa hiyo haiwezekani mnasema korona, baadae mtasema mvua, baadae mtasema jua, baadae mtasema matope, haiwezekani.
Kwa hiyo mkurugenzi wa jiji, wewe ndio ulisaini mkataba huu, nataka mradi huu kabla ya mwezi wa 11uwe umemalizika, hakuna extension. Mwezi wa kumi na moja, wafanye kazi usiku na mchana, umeme upo, maji yapo, watu wa kufanya kazi wapo, pesa zipo, hakuna sababu za kusingizia korona, mbona hawajavaa hata barakoa hapa.
Na niwaombe watendaji wangu, huu mradi si mmenileta mimi na mheshimiwa Rais kuja kuweka jiwe la msingi, Hiiiii...... Kwa hiyo waziri huu mradi umalizike, hamieni hapa.
Bilioni 71, naambiwa hapa patakuwa panapakiwa mabasi 1,000 teksi 280 kwa siku, patakuwa na maeneo ya bodaboda na bajaji na patakuwa na eneo la mamalishe na babalishe, hii ni safi kwa sababu mwezi wa saba walitakiwa wawe hapa.
===
MAGUFULI: Mkataba ulikuwa umalizike mwezi wa saba, leo ni mwezi wa kumi na waziri alikuwa anazungumza hapa wanatakiwa kukabidhi mwezi wa kwanza, this is not fair kwa sababu kuanzi mwezi wa saba mpaka mwezi wa kwanza ni miezi minne.
Palitakiwa watu wanafanya kazi hapa wanaingiza pesa, palitakiwa hiyo deployment ya watu 10 iwe hapa katika kipindi cha miezi minne, hiyo miezi minne nani atakaelipa hizo fedha na kuzifidia na ndio maana nalisema hili, mradi ni mzuri lakini utekelezaji wake ni very poor na hili nalizungumza mbele ya rafiki yangu, mheshimiwa Rais wa Malawi.
Haiwezekani watu watafute visingizio vya Korona, kwanza effect ya korona katika nchi hii ni so minimal kwa hiyo kandarasi alitakiwa awe hapa na mheshimiwa waziri huyu contractor aanze kukatwa pesa za kuchelewa kukabidhi mradi.
Tukienda kwa utaratibu huu, miradi mingi itachelewa na mimi nimeumbwa kusema ukweli kwa sababu msema kweli ni mpenzi wa Mungu na ninazungumza mbele ya baba askofu mstaafu, Dr. Lazarus Chakwera. Haiwezekani, hawa makandarasi Hernan is a good contractor but you have delayed the project, we cant tolerate that stupid thing.
Ifike mahali viongozi wa Dar es Salaam mlielewe hili, hizi ni fedha za watanzania masikini, wamewekeza hapa ili kusudi wapate faida ya mradi huu kwa hiyo haiwezekani mnasema korona, baadae mtasema mvua, baadae mtasema jua, baadae mtasema matope, haiwezekani.
Kwa hiyo mkurugenzi wa jiji, wewe ndio ulisaini mkataba huu, nataka mradi huu kabla ya mwezi wa 11uwe umemalizika, hakuna extension. Mwezi wa kumi na moja, wafanye kazi usiku na mchana, umeme upo, maji yapo, watu wa kufanya kazi wapo, pesa zipo, hakuna sababu za kusingizia korona, mbona hawajavaa hata barakoa hapa.
Na niwaombe watendaji wangu, huu mradi si mmenileta mimi na mheshimiwa Rais kuja kuweka jiwe la msingi, Hiiiii...... Kwa hiyo waziri huu mradi umalizike, hamieni hapa.
Bilioni 71, naambiwa hapa patakuwa panapakiwa mabasi 1,000 teksi 280 kwa siku, patakuwa na maeneo ya bodaboda na bajaji na patakuwa na eneo la mamalishe na babalishe, hii ni safi kwa sababu mwezi wa saba walitakiwa wawe hapa.