amilyroley
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 621
- 1,199
Kinachofanyika sasa sio hakuna mwanaCCM wa Lumumba aliyezoea kula kiyoyozi na kula kwa ubua atakipenda. Sio Sera kabisa za CCM iliyozoeleka, ni Sera za upinzani zilizokuwa zikipingwa na wanaCCM na Kikwete. Lumumba sasa wananongona wanajuta na wengine wanasema walikosea. Anachokifanya magufuli ni kufufua kile na kukipinga kile alichokifanya JK.
Wakwepaji kodi walikuwa marafiki wa serikali iliyopita na marafiki wa CCM. Magufuli na Majaliwa wameamua kuwaadhibu na kuwadhalilisha marafiki wa CCM na serikali iliyopita. Wale matajiri wa kitanzania wenye asili ya Yemen walikokwepa kodi miaka kuki kwa urafiki wa watoto wa vigogo sidhan kama watabaki. Magufuli na Majaliwa hakika wameamua kuipinga CCM na kumpinga JK.
Wakwepaji kodi walikuwa marafiki wa serikali iliyopita na marafiki wa CCM. Magufuli na Majaliwa wameamua kuwaadhibu na kuwadhalilisha marafiki wa CCM na serikali iliyopita. Wale matajiri wa kitanzania wenye asili ya Yemen walikokwepa kodi miaka kuki kwa urafiki wa watoto wa vigogo sidhan kama watabaki. Magufuli na Majaliwa hakika wameamua kuipinga CCM na kumpinga JK.