S Sexless JF-Expert Member Mar 11, 2017 21,567 50,393 Nov 10, 2017 #2 Habari za hawa jamaa 2 sitaki kuzisikia kabisaa!
pangalashaba JF-Expert Member Jan 10, 2011 1,275 1,509 Nov 10, 2017 #4 Gerson Msigwa hata wewe, email kwa kiswahili ni barua pepe. Najua utalifanyia kazi utake usitake.
M MPadmire JF-Expert Member Mar 7, 2006 3,928 3,225 Nov 10, 2017 #6 Vioja.Tunaua uhusiano na Kenya..Uchumi mkubwa EA Yapo mambo ya msingi ya kujadili mfumuko wa Bei bei ya sukari ni hatari Uchumi umekuwa - Deni la Taifa lakuwa Shillingi kudorora- Uchumi umekuwa Biashara sekta binafsi zinakufa...TRA wanakusanya wapi kodi?
Vioja.Tunaua uhusiano na Kenya..Uchumi mkubwa EA Yapo mambo ya msingi ya kujadili mfumuko wa Bei bei ya sukari ni hatari Uchumi umekuwa - Deni la Taifa lakuwa Shillingi kudorora- Uchumi umekuwa Biashara sekta binafsi zinakufa...TRA wanakusanya wapi kodi?
S songera JF-Expert Member Dec 29, 2014 1,302 510 Nov 10, 2017 #7 Uchumi mkubwa wa kenya una faida gani kwa tanzania kama na sio nyumbu?