Rais Magufuli na mgeni wake Rais Ramaphosa wa Afrika Kusini kutembelea eneo ilipotokea ajali ya moto Morogoro

So wale waliokimbizwa Muhimbili amri ulitoa wewe. Kuandika kingereza ndo kumekufanya uonekane elimu haijakusaidia. JPM anakwenda Moro na mgeni wake kwa mambo ya kihistoria na it’s obvious kwamba ni busara kupitia eneo la tukio lililoua watu karibu mia (82). So stop your nonsense for once and write something ya kusaidia afya ya akili yako.

Mgeni na kwenda kuwa comfort wafiwa wakati tukio limetokea kipi muhimu? Oli•enz’ wang’uu
 
So wale waliokimbizwa Muhimbili amri ulitoa wewe. Kuandika kingereza ndo kumekufanya uonekane elimu haijakusaidia. JPM anakwenda Moro na mgeni wake kwa mambo ya kihistoria na it’s obvious kwamba ni busara kupitia eneo la tukio lililoua watu karibu mia (82). So stop your nonsense for once and write something ya kusaidia afya ya akili yako.
Wakati mwingine mtumie akili swala la kuwakimbiza majeruhi muhimbili halihitaki amri wala maelekezo ya Rais msitake kumfanya Mh Rais ni mtu wa aina hiyo ya udikteta kwamba bila kauli yake hakuna kinacho fanyika na ndio maaana kuna waziri wa afya hivyo hata asinge sema swala la muhimbili lisinge kwepeka.
 
acha kujipendekeza
Sio kujipendekeza ndugu yangu hiyo shule ipo tena kuna daraja na geti la kuruhusu magari kuingia na sehemu ya watembea kwa miguu alafu hiyo shule ipo karibu kabisa na chuo kikuu cha kilimo (SUA) kama uniamini uliza wenyeji wa mazimbu au mwanafunzi waliowai kusoma hapo chuo watakwambia
 
Sio kujipendekeza ndugu yangu hiyo shule ipo tena kuna daraja na geti la kuruhusu magari kuingia na sehemu ya watembea kwa miguu alafu hiyo shule ipo karibu kabisa na chuo kikuu cha kilimo (SUA) kama uniamini uliza wenyeji wa mazimbu au mwanafunzi waliowai kusoma hapo chuo watakwambia
Basi umesoma shule nzuri, je ulifanikiwa mpaka wapi ndg yangu,
mie nilisoma Shule ya msingi kibumaye, tulikuwa tunakalia mawe kabisaaa! shule nzima tunagonga kilugha tu. sikujua ntafika hapa nilipo.nilidhani ndo basi tena
 
Basi umesoma shule nzuri, je ulifanikiwa mpaka wapi ndg yangu,
mie nilisoma Shule ya msingi kibumaye, tulikuwa tunakalia mawe kabisaaa! shule nzima tunagonga kilugha tu. sikujua ntafika hapa nilipo.nilidhani ndo basi tena
Ni kweli Shule ilikuwa na mazingira mazuri na vitabu vya kutosha japokuwa ni ya serikali na kuhusu wewe mazingira siyo yanayokwamisha juhudi ni muhimu sana ndugu zetu wengi waliosoma miaka ya nyuma walikuwa na mazingira ya hiyo lakini leo ndio walioshika hatamu serikalini na sekta binafsi
 
Back
Top Bottom