Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,562
- 15,909
Ni swali la ufahamu tu mnijuze mimi sijui nimeona kwenye taarifa ya habari Rsis Magufuli yupo Afrika Kusini na makamu wake Bi.Samia yupo visiwa vya Comoro.
Sasa nauliza hivi sasa nchini hapa Rais anayeongoza pale ofisi za Ikulu magogoni ni nani?
Karibuni wakuu mtujuze naamini wengi tutajifunza.
Sasa nauliza hivi sasa nchini hapa Rais anayeongoza pale ofisi za Ikulu magogoni ni nani?
Karibuni wakuu mtujuze naamini wengi tutajifunza.