johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,784
Kiukweli kwa upande wa michezo, burudani na sanaa hadi sasa tunatembea vifua mbele.
Timu tatu za mkoa wa Dsm kushiriki mashindano ya kimataifa Afrika zikiwa ni Simba, Yanga na Azam.....hongera kwa RC Makonda pia.
Timu ya taifa yaani Taifa stars kesho inaelekea Misri kushiriki fainali za Afcon
Kadhalika Mbwana Samatta anatuwakilisha vizuri kama taifa kule anakokipiga nikimaanisha Ubelgiji na yawezekana huwa anamsupport ndugu yetu Tundu Lisu kwa mahitaji madogo madogo.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama
cc: Wakudadavuwa!
Timu tatu za mkoa wa Dsm kushiriki mashindano ya kimataifa Afrika zikiwa ni Simba, Yanga na Azam.....hongera kwa RC Makonda pia.
Timu ya taifa yaani Taifa stars kesho inaelekea Misri kushiriki fainali za Afcon
Kadhalika Mbwana Samatta anatuwakilisha vizuri kama taifa kule anakokipiga nikimaanisha Ubelgiji na yawezekana huwa anamsupport ndugu yetu Tundu Lisu kwa mahitaji madogo madogo.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama
cc: Wakudadavuwa!