Uchaguzi 2020 Rais Magufuli muombe Rais Mstaafu Kikwete akusaidie kupiga kampeni

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,653
Kifo cha Rais mstaafu Benjamin W Mkapa ni Pengo kubwa sana katika uchaguzi wa mwaka huu.

Kwa mwenendo wa uchaguzi wa mwaka huu, hali sio ya kuchukulia poa kama CCM ilivyokuwa ikifikiria. Ukimya wa watu miaka 5 usiwadanganye wana CCM kuwa uchaguzi huu ni mwepesi. Watu wamebeba mengi kwenye Nafsi zao. Watu wanataka kutumua sanduku la kura kuonesha hisia zao.

Rais Magufuli unatakiwa utambue kuwa, huu uchaguzi ni mgumu sana haijawai tokea hapa Tanzania na ukiudharau utakushangaza.

Rais Mstaafu J. Kikwete ni mmoja wa viongozi wenye upawa mkubwa wa kuvuta hisia za watu.

Rais Magufuli, Jisushe na Muombe Mh Kikwete aje akusaidia kufanya kampeni. Hutaweza wewe peke yako. Kumbuka bado siku 50+. Uliyekuwa ukimtegemea sana ndiyo hivyo Mungu kampenda zaidi. Sasa mtumie aliyebaki anaweza kuwa msaada mkubwa kwako zaidi ya hata uliyekuwa ukimtegemea.

Aliyekudanganya kuwa wasanii ndiyo watakupa kura, mchunguze kwa umakini sana. Anawezakuwa anafaidika kupitia posho za ao wasanii. Ila ukweli ukiangalia mikutano yako imejaa watoto na wanawake tu ambao wanavutiwa na wasanii tu.
 
Magufuli alishindwa kumpa hata Sumaye, waziri mkuu wa Mkapa kwa miaka 10 slot ya kutoa neno kwenye ratiba ya wazungumzaji kwenye Msiba wa Mkapa ndo atampa JK nafasi ya kumpigia kampeni?

Achievement za Mkapa alikuwepo Sumaye kama waziri mkuu lakini walimuignore, very unfair
 
CCM ni chama cha mikakati. Hawa wastaafu inajua itawatumia wapi na wakati gani? Subiri kampeni bado hazijaisha ndo kwanza kumekucha asubuhi. Wapinzani wao haijulikani kama hata kampeni zao watazimaliza kabla pumzi haijakata.
 
CCM ni chama cha mikakati. Hawa wastaafu inajua itawatumia wapi na wakati gani? Subiri kampeni bado hazijaisha ndo kwanza kumekucha asubuhi. Wapinzani wao haijulikani kama hata kampeni zao watazimaliza kabla pumzi haijakata.

Mikakati ya ccm ipo kwenye nguvu ya rais ambaye anaweza kuagiza tume ya uchaguzi imtangaze mgombea yoyote wa ccm. Toka lini mbeleko ikawa mikakati?
 
Kuna watu sita (6) ambao Mheshimiwa anapaswa kuwaomba kwa njia ya kipekee wamsaidie katika kampeni zake za uchaguzi mwaka huu;
1. Mzee Kikwete
2. Kamarade Kinana
3. Mzee Warioba
4. Mzee Butiku
5. Mzee Msekwa
6. Mzee Makamba

Hii ndiyo think tank ya CCM, kwa kuzidi kujimwambafai kwake, na kuwaweka kando wazee hawa, kura zake zinakwenda kuwagawanyika na za Membe.
 
Kuna watu sita (6) ambao Mheshimiwa anapaswa kuwaomba kwa njia ya kipekee wamsaidie katika kampeni zake za uchaguzi mwaka huu;
1. Mzee Kikwete
2. Kamarade Kinana
3. Mzee Warioba
4. Mzee Butiku
5. Mzee Msekwa
6. Mzee Makamba

Hii ndiyo think tank ya CCM, kwa kuzidi kujimwambafai kwake, na kuwaweka kando wazee hawa, kura zake zinakwenda kuwagawanyika na za Membe.
Narejea kukumbusha waliomshauri m.kiti vibaya wajipange.
 
Halaf leo nimemcheki pale Nzega kachoka mnoooo, na hii ni siku ya 3 ya kampeni zake....si ajabu huyu Jamaa hapendi Uchaguzi
Anawapelekea Wanyamwezi waliopinda stori za Ndege na Daraja la Mfugale wanamcheekii akiondoka wanarudi kwenye vijiwe vyao vya kahawa huku wakimsubiri Lissu walugaluga hawataniii wanamnyoa Mhutu alfajiri na mapema
 
Mbona kampeni alishamaliza imebakia kuapishwa kama desturiii tuuu
Maaanaa hana mpinzani ata wa kuthubutu, hayupo.
Wanaojiiita wapinzani wake wako busy na kiki ambazo hazina ata la maana.
 
Anawapelekea Wanyamwezi waliopinda stori za Ndege na Daraja la Mfugale wanamcheekii akiondoka wanarudi kwenye vijiwe vyao vya kahawa huku wakimsubiri Lissu walugaluga hawataniii wanamnyoa Mhutu alfajiri na mapema
Vijiwe gani ambavyo wanamzungumzia Lisu?
Wote mbona wanakwambia uchaguzi ulishaishaaa?
Endeleeeni na kiiki zenu tuuuu.
 
Back
Top Bottom