ndege joni
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 673
- 1,082
Kama inavyojieleza.
Mimi nasomesha wadogo zangu, mmoja yupo SUA na mwingine yupo UDOM. Niachane na maelezo mengine ila huyu wa SUA michango ni mingi kuliko wa UDOM, mpaka nashindwa kuelewa.
Maana baada Waziri wa Afya kutangaza kuwa bima ya afya inatakiwa ilipwe serikalini moja kwa moja, na sio 100,000/= kama walivyokuwa wanalipa chuoni inatakiwa iwe 54,000/=.
Basi kuna mchango wa tahadhari umejitokeza usiokuwa na control number wa 50,000/= ambao wanafunzi wote wanatakiwa walipe.
Ukiwauliza wanasema kuwa mwanafunzi akiugua anatakiwa agharamikiwe na Chuo, ndio hiyo 50,000/=.
Sasa sielewi hilo tukio la kuwapeleka hospitali wanafunzi waliolipia bima hizo gharama kubwa kiasi hicho lishawagharimu kiasi gani siku zilizopita na inasadikika kuna wanafunzi zaidi ya 15,000/=.
Hapa Mhe Rais tunaomba utume timu yako iangalie.
Mimi nasomesha wadogo zangu, mmoja yupo SUA na mwingine yupo UDOM. Niachane na maelezo mengine ila huyu wa SUA michango ni mingi kuliko wa UDOM, mpaka nashindwa kuelewa.
Maana baada Waziri wa Afya kutangaza kuwa bima ya afya inatakiwa ilipwe serikalini moja kwa moja, na sio 100,000/= kama walivyokuwa wanalipa chuoni inatakiwa iwe 54,000/=.
Basi kuna mchango wa tahadhari umejitokeza usiokuwa na control number wa 50,000/= ambao wanafunzi wote wanatakiwa walipe.
Ukiwauliza wanasema kuwa mwanafunzi akiugua anatakiwa agharamikiwe na Chuo, ndio hiyo 50,000/=.
Sasa sielewi hilo tukio la kuwapeleka hospitali wanafunzi waliolipia bima hizo gharama kubwa kiasi hicho lishawagharimu kiasi gani siku zilizopita na inasadikika kuna wanafunzi zaidi ya 15,000/=.
Hapa Mhe Rais tunaomba utume timu yako iangalie.