Mmeme
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 700
- 299
Acha kupandikiza chuki miongoni mwetu, husikilizi/huangalii peke yako hii hotuba.Rais Magufuli anasema kama mtu anataka kukiona cha moto ajaribu kumshambulia Mwana-CCM yeyote aliyevaa kijani.
Mimi najiuliza, je wananchi wanaovaa kaki hawana haki ya kulindwa?
Tuna rais mbaguzi sijawai kuona yaani wakina mawazo mpaka waliuawa na watu kibao wanashambuliwa kisa wamevaa kaki hakuna hatua zinazochukuliwa.
Tuna Rais mbaguzi sana.