technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Rais Magufuli anasema kama mtu anataka kukiona cha moto ajaribu kumshambulia Mwana-CCM yeyote aliyevaa kijani.
--
MAONI YANGU
Mimi najiuliza, je wananchi wanaovaa kaki hawana haki ya kulindwa?
Tuna Rais mbaguzi sijawai kuona yaani wakina Mawazo mpaka waliuawa na watu kibao wanashambuliwa kisa wamevaa kaki hakuna hatua zinazochukuliwa.
Tuna Rais mbaguzi sana.
--
MAONI YANGU
Mimi najiuliza, je wananchi wanaovaa kaki hawana haki ya kulindwa?
Tuna Rais mbaguzi sijawai kuona yaani wakina Mawazo mpaka waliuawa na watu kibao wanashambuliwa kisa wamevaa kaki hakuna hatua zinazochukuliwa.
Tuna Rais mbaguzi sana.