Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,430
- 3,250
Boat story
Boat story
Yeye mwenyewe karibia anapoteaMheshimiwa Rais yupo sahihi naunga mkono
Kabisa mkuu. Ni kama ulianzishwa uhasama vile.Ninakubaliana na maneno yako Tanzania tangu ianzishe Vyama vyingi imekuwa sio nchi ya Salama wala amani kuweza kuishi hapo tena Tanzania ni sawa kama mtu unajifunga kitanzi shingoni siku yoyote utakufa tu
Duuuu, kuna Watu Vilaza hivi unafikilia ni rahisi hivyo. Kuna Wengine unakula nao, unalala nao, Wanakufundisha, ni ndugu zako, Marafiki zako so how you going to Manage. Chamsingi hakikisha unatoa taarifa kwa vyombo vya dola. Tuache kudanganywa na akili za Wapiga dili kama akina Lisu, Kabwe ambao kula yao inategemea namna gani amedanganya watu na amewafurahisha vipi wahisani wao kwa kutufarakanisha Watanzania.Kama ni hivyo nami nashauri watanzania tujihami na hao watekaji kwa kupiga yowe la majambazi ili hata kama ni vyombo vya usalama basi wakaendeleze utekaji peponi. Zakaria was very right to shoot them. Wananchi walitakiwa wawaponde mawe
Daaah hivi nchi hii kuna viumbe wanaofikiri hivi??Duuuu, kuna Watu Vilaza hivi unafikilia ni rahisi hivyo. Kuna Wengine unakula nao, unalala nao, Wanakufundisha, ni ndugu zako, Marafiki zako so how you going to Manage. Chamsingi hakikisha unatoa taarifa kwa vyombo vya dola. Tuache kudanganywa na akili za Wapiga dili kama akina Lisu, Kabwe ambao kula yao inategemea namna gani amedanganya watu na amewafurahisha vipi wahisani wao kwa kutufarakanisha Watanzania.
Watanzania tunajielewa hatudanganyiki, labda kawadanganye Mateja wala ngada
Sijafutilia hatma yake,Los técnicos, Ivi ishu yake iliishia wapi? Au kwakuwa hayupo DSM Ndio maana hatupati taarifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti!
Hili jambazi lilitufikisha kiwango cha lami! Linatupa TISS wateke na kupoteza/kuua halafu linatishia watu wasiseme! Jambazi pekee aliyechukua nchi akaua kila aliyetofautiana naye akasurvive!RAIS MAGUFULI "HUYO ANA USHAHIDI, MSHIKENI MPAKA ATOE USHAHIDI"
Siku hizi kumekuwa na tabia ya hovyo imejitokeza kwa baadhi ya Watanzania wachache. Kila kitu kinachofanywa ni Usalama wa Taifa, mtu akipotea siku mbili hata kama hajapotea yupo kwa mpenzi wake ni Usalama wa Taifa.
Niviombe vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama likiwemo Jeshi la Polisi ambao huwa mnashughulikia wahalifu, msiwaache wahalifu waanze kuchafua vyombo vya Ulinzi na Usalama. Mtu akizungumza amempotea huyu ana ushahidi mshikeni mpaka atoe ushahidi.
Mawazo yangu:
Kama hawahusiki waliopotea nani kawachukua? Wasiojulikana ni kina nani?
Crediti to Vitalis
Simple questions to ask yourself
Kwanini ni Usalama wa Taifa, kwanini tusiseme ni maharamia wa Kisomali, kwanini sio Al Shabab, Kwanini sio watu wengine wowote? Kwanini TISS?
Kama sio TISS kwanini sio hao niliotaja hapo juu ambao wangekwisha kamatwa?
Ni kwanini wanaitwa wasiojulikana?
Je, hayo majeshi ya vyombo vya ulinzi na usalama wamefeli kiasi hicho cha kutokamata hata mmoja?
Tujiulize majeshi yetu ni ya kukaa kambini tuu na kubaini wale wanaotaka kujinyonga siku za karibuni?
Majeshi yetu ni ya kubaini kuwa kutokana na intelijensia kwenye kikao au mkutano wa chama fulani kunategemewa kuwa na vurugu na badala yake kuzuia Kikao au mkutano?
USHAURI.
Majeshi ya Ulinzi na Usalama wao ndio wanatakiwa kutuhakikishia kuwa sio TISS kwa kukamata wale wote wasiojulikana ili jamii itokane na dhana hiyo.
View attachment 1320570