misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,642
- 9,338
Nimefikiria vizuri mkuu.Sidhani kama umefikiria vizuri
Niliunganisha dot ya ishu ya CAG mstaafu kuna mwanasiasa alivyoleta taharuki
Nimefikiria vizuri mkuu.Sidhani kama umefikiria vizuri
Wanaishi nyumba za vioo awajui system haina mwenyewe ukifika mda nao watatendewa walivowatendea wenzaoIpo siku isiyokuwa na jina na yeye atatekwa, na wasiojulikana, tatizo ni muda tu. Jiwe anasahau muosha huoshwa!
Swali fikirishi hao wasiojulikana wanaishi wapi je wananguvu kuliko mkono mrefuUsalama jukumu lao ni kumtafuta mtekaji ili wasihusishwe na utekaji husika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalau tukio hili la Zakaria kule Tarime, na pia la Nape Dar yanathibitisha Ni kina Nani watekaji na wauaji..Kama ni hivyo nami nashauri watanzania tujihami na hao watekaji kwa kupiga yowe la majambazi ili hata kama ni vyombo vya usalama basi wakaendeleze utekaji peponi. Zakaria was very right to shoot them. Wananchi walitakiwa wawaponde mawe
Hslafu mlivyo mazuzu uchaguzi mkuu mnamchagua,, jaman nyi watanzania lol"Magufuli ni miongoni mwa watekaji! na sasa hataki kusikia kelele za anao waumiza". Anacho fanya ni intimidations ili watu tukae kimya huku tukiona wenzetu wakipotea! Kuna matukio mengine ya wazi kabisa yanayo wahusisha usalama wa taifa, kama lile la Zakaria....yapo mengine yasiyo kuwa na majibu na mengine yenye majibu ya kitoto masikioni mwa wenye timamu.
Lini mmeaza kuchaguwa?Hslafu mlivyo mazuzu uchaguzi mkuu mnamchagua,, jaman nyi watanzania lol
Itajulikana tu siku utawala Wa shetani ukitupwa kuzumuSwali fikirishi hao wasiojulikana wanaishi wapi je wananguvu kuliko mkono mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenyewe mashhabiki wa utawala huu wanaelewa etiHapo kwenye kuzuia watu wasijinyonge Kamanda amezurura aisee. Siriazi kabisa anasema hadharani watahakikisha wanawasaka na wanawakamata watu wanaotaka kujinyonga. Sasa utathibitisha vipi mtu ana mpango wa kujinyonga maana hata anaeenda kujinyonga akifika barabarani anavuka kwa uangalifu asije akagongwa.
Naunga mkono hoja. Sijui ikitokea (nahisi lipo njiani) halafu inikute sina fedha sijui nikamkope nani. Siku hiyo ugimbi hadi lukelaSiku mtu Fulani akiondoka humu duniani tbl rekodini mauzo yenu hamtaamini.
Sio kazi yake kujua. Kuna vyombo vimepewa hayo majukumu, vitueleze na kama vimeshindwa viseme tumeshindwamr return, kama wewe unajua kuwa wao ndio wanahusika inabidi ukamatwe ili ukatoe ushahidi pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
We mjinga watu hawaogopi kushtakiwa watu wanatekwa Sasa huoni tofauti ya kushtakiwa na kutekwa?Hutishwi ukitenda kosa si lazima ushitakiwe? Sasa unaogopa nini kushitakiwa?
Sijaelewa juu ya koti mojaMh anasahau watumishi wa TISS si maraika ni binadamu tunaishi nao wengine madem zetu wengine shemeji zetu kwaiyo hawa madem zetu tukiwakoleza wanaropoka pia wale shemeji zetu dada zetu wakiwapa vizuri wanalopoka
Mfano sasa hivi tupo kuwabembeleza kweli hawa nadem zetu wa TISS watuambie kwanini mh anapenda kuvaa koti moja tu why kwanini?
Nime ipenda hii hadithiMzee mmoja alimpandisha kijana wake juu fensi, akamwambia kijana wake 'ruka chin nitakudaka' kijana akaruka then Mzee akamkwepa, Kijana akadondoka chini, kijana alilia kwa uchungu akamuuliza Baba ake kwanini umeniacha nianguke?
Baba ake akamwambia nlitaka ujifunze kutoamin mtu/ watu.
Ninakubaliana na maneno yako Tanzania tangu ianzishe Vyama vyingi imekuwa sio nchi ya Salama wala amani kuweza kuishi hapo tena Tanzania ni sawa kama mtu unajifunga kitanzi shingoni siku yoyote utakufa tuTulishasema tayari kuwa Tanzania si mahala Salama tena pa Kuishi Binadamu wenye Ufahamu.
Haya mwerevu!We mjinga watu hawaogopi kushtakiwa watu wanatekwa Sasa huoni tofauti ya kushtakiwa na kutekwa?