Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
RAIS MAGUFULI "HUYO ANA USHAHIDI, MSHIKENI MPAKA ATOE USHAHIDI"
Siku hizi kumekuwa na tabia ya hovyo imejitokeza kwa baadhi ya Watanzania wachache. Kila kitu kinachofanywa ni Usalama wa Taifa, mtu akipotea siku mbili hata kama hajapotea yupo kwa mpenzi wake ni Usalama wa Taifa.
Niviombe vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama likiwemo Jeshi la Polisi ambao huwa mnashughulikia wahalifu, msiwaache wahalifu waanze kuchafua vyombo vya Ulinzi na Usalama. Mtu akizungumza amempotea huyu ana ushahidi mshikeni mpaka atoe ushahidi.
Mawazo yangu:
Kama hawahusiki waliopotea nani kawachukua? Wasiojulikana ni kina nani?
Crediti to Vitalis
Simple questions to ask yourself
Kwanini ni Usalama wa Taifa, kwanini tusiseme ni maharamia wa Kisomali, kwanini sio Al Shabab, Kwanini sio watu wengine wowote? Kwanini TISS?
Kama sio TISS kwanini sio hao niliotaja hapo juu ambao wangekwisha kamatwa?
Ni kwanini wanaitwa wasiojulikana?
Je, hayo majeshi ya vyombo vya ulinzi na usalama wamefeli kiasi hicho cha kutokamata hata mmoja?
Tujiulize majeshi yetu ni ya kukaa kambini tuu na kubaini wale wanaotaka kujinyonga siku za karibuni?
Majeshi yetu ni ya kubaini kuwa kutokana na intelijensia kwenye kikao au mkutano wa chama fulani kunategemewa kuwa na vurugu na badala yake kuzuia Kikao au mkutano?
USHAURI.
Majeshi ya Ulinzi na Usalama wao ndio wanatakiwa kutuhakikishia kuwa sio TISS kwa kukamata wale wote wasiojulikana ili jamii itokane na dhana hiyo.
Siku hizi kumekuwa na tabia ya hovyo imejitokeza kwa baadhi ya Watanzania wachache. Kila kitu kinachofanywa ni Usalama wa Taifa, mtu akipotea siku mbili hata kama hajapotea yupo kwa mpenzi wake ni Usalama wa Taifa.
Niviombe vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama likiwemo Jeshi la Polisi ambao huwa mnashughulikia wahalifu, msiwaache wahalifu waanze kuchafua vyombo vya Ulinzi na Usalama. Mtu akizungumza amempotea huyu ana ushahidi mshikeni mpaka atoe ushahidi.
Mawazo yangu:
Kama hawahusiki waliopotea nani kawachukua? Wasiojulikana ni kina nani?
Crediti to Vitalis
Simple questions to ask yourself
Kwanini ni Usalama wa Taifa, kwanini tusiseme ni maharamia wa Kisomali, kwanini sio Al Shabab, Kwanini sio watu wengine wowote? Kwanini TISS?
Kama sio TISS kwanini sio hao niliotaja hapo juu ambao wangekwisha kamatwa?
Ni kwanini wanaitwa wasiojulikana?
Je, hayo majeshi ya vyombo vya ulinzi na usalama wamefeli kiasi hicho cha kutokamata hata mmoja?
Tujiulize majeshi yetu ni ya kukaa kambini tuu na kubaini wale wanaotaka kujinyonga siku za karibuni?
Majeshi yetu ni ya kubaini kuwa kutokana na intelijensia kwenye kikao au mkutano wa chama fulani kunategemewa kuwa na vurugu na badala yake kuzuia Kikao au mkutano?
USHAURI.
Majeshi ya Ulinzi na Usalama wao ndio wanatakiwa kutuhakikishia kuwa sio TISS kwa kukamata wale wote wasiojulikana ili jamii itokane na dhana hiyo.