Rais Magufuli mteuwe Paul Makonda awe waziri TAMISEMI

NJALI

JF-Expert Member
Jan 9, 2014
1,534
1,089
Ni ukweli usiopingika kuwa jiji la Dar limepata active leaders and activators, ma meya Ukawa hasa Bwana Jacobo wanaonesha kupiga kazi. Mkuu wao wa mkoa Makonda anapiga kazi inavyotakiwa, hii ni changamoto kwa wazee kuwa Hata baadhi ya vijana wakipewa fursa wanaweza.

Kikwete alifanya la maana kumuibua Makonda kwa kumpa UKUU wa Wilaya ya Kinondoni. Kuna wasomi wengi sana vijijini wana uwezo lakini hawajapata watu wa kuwashika mkono.
Makonda ameshughulikia suala la madawati vema, usafi wa jiji amejitahidi, walimu kusafiri bure kwenye baadhi ya vyombo vya usafiri, Watumishi hewa amejitahidi kuwa tambua na kubana mabenki yataje waliokuwa wakichukua pesa hizo, ushoga na shisha.

Ningeomba Magufuli ampe TAMISEMI ainyoshe sio kwamba aliepo hafai la hasha ila kasi yake ni ndogo ukilinganisha na Makonda huenda akatatua kero za watumishi hasa walimu za muda mrefu, pia akadhibiti watumishi hewa na akasimamia nidhamu kazini.
 
makonda ni jembe sana..


mi nakubali sana performance yake kwenye majukumu... japo mwenyewe simpendi..

kweli nakubali jamaa apewe kitengo
 
Tamisemi pagumu sana hasa pale unapokutana na matatizo lukuki ya WALIMU ndo performance ya mweny dhamana inaposhindwa kuonekana. Ukiangalia matatizo ya WALIMU ni zaid ya unavyodhani. Mana Kuna WALIMU wanadai Madeni yao tangu awamu ya Mh. Ben Mkapa mpaka leo wanadai na hakuna anaejali, Kuna ishu za madaraja, hela za Likizo, vyeo vipya na mengineyo. Hivyo basi hata Makonda hata apewe hataweza.
TAMISEMI KAA LA MOTO.

Simba CHAWENE anakaz ya kutoa namba zake za simu tu et kama mwalim anashida ampigie. VIONGOZI WA TANZANIA BHANA
 
Ni ukweli usiopingika kuwa jiji la Dar limepata active leaders and activators, ma meya Ukawa hasa Bwana Jacobo wanaonesha kupiga kazi. Mkuu wao wa mkoa Makonda anapiga kazi inavyotakiwa, hii ni changamoto kwa wazee kuwa Hata baadhi ya vijana wakipewa fursa wanaweza.

Kikwete alifanya la maana kumuibua Makonda kwa kumpa UKUU wa Wilaya ya Kinondoni. Kuna wasomi wengi sana vijijini wana uwezo lakini hawajapata watu wa kuwashika mkono.
Makonda ameshughulikia suala la madawati vema, usafi wa jiji amejitahidi, walimu kusafiri bure kwenye baadhi ya vyombo vya usafiri, Watumishi hewa amejitahidi kuwa tambua na kubana mabenki yataje waliokuwa wakichukua pesa hizo, ushoga na shisha.

Ningeomba Magufuli ampe TAMISEMI ainyoshe sio kwamba aliepo hafai la hasha ila kasi yake ni ndogo ukilinganisha na Makonda huenda akatatua kero za watumishi hasa walimu za muda mrefu, pia akadhibiti watumishi hewa na akasimamia nidhamu kazini.
Acha tamaa..endelea na uRC kwanza!
 
Tamisemi pagumu sana hasa pale unapokutana na matatizo lukuki ya WALIMU ndo performance ya mweny dhamana inaposhindwa kuonekana. Ukiangalia matatizo ya WALIMU ni zaid ya unavyodhani. Mana Kuna WALIMU wanadai Madeni yao tangu awamu ya Mh. Ben Mkapa mpaka leo wanadai na hakuna anaejali, Kuna ishu za madaraja, hela za Likizo, vyeo vipya na mengineyo. Hivyo basi hata Makonda hata apewe hataweza.
TAMISEMI KAA LA MOTO.

Simba CHAWENE anakaz ya kutoa namba zake za simu tu et kama mwalim anashida ampigie. VIONGOZI WA TANZANIA BHANA
Well said
 
Kama kuna mtu aliyefeli utendaji ktk hii Serikali basi ni Makonda aka mzee wa matamko hewa.
 
Kama kuna mtu aliyefeli utendaji ktk hii Serikali basi ni Makonda aka mzee wa matamko hewa.
 
Kama kuna mtu aliyefeli utendaji ktk hii Serikali basi ni Makonda aka mzee wa matamko hewa.
 
Kama kuna mtu aliyefeli utendaji ktk hii Serikali basi ni Makonda aka mzee wa matamko hewa.
 
Kama kuna mtu aliyefeli utendaji ktk hii Serikali basi ni Makonda aka mzee wa matamko hewa.
 
Kama kuna mtu aliyefeli utendaji ktk hii Serikali basi ni Makonda aka mzee wa matamko hewa.
 
Back
Top Bottom