Rais Magufuli, Mteue rais mstaafu Kikwete kuwa Waziri wa Mambo ya Nje akusaidie kazi kwenye Wizara hiyo

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,497
51,090
Wala siyo kosa kikatiba, na wala siyo kumshushia hadhi, maana kuhudumia nchi katika ngazi yoyote ile ni heshima.

Raisi Kikwete ni mtaalamu wa diplomasia, ana uwezo mkubwa wa kukusaidia kuweka sawa mambo mengi ya diplomasia yetu.

Siyo siri, diplomasia yetu imepwaya sana siku za karibuni. Hata ile vision yetu ya kuifanya diplomasia yetu kuwa ya kiuchumi nayo naona inakwenda arijojo.

Katika nyakati hizi ambazo nchi inahitaji uwekezaji mkubwa na kuongeza watalii na kufungua masoko ya mazao yetu nje ya nchi, tunahitaji mtu mwenye charisma, connections, uzoefu na anayejua priorities za nchi yetu katika malengo ya kutuletea maendeleo.
Tunahitaji mtu presentable ambaye anaweza kuproject calmness, soberness na seriousness katika positions zetu.

Mimi naamini japo Kikwete ameshahudumu kama raisi, lakini katiba haimfungi kuhudumu kama mbunge (wa kuteuliwa) na hatimaye kuhudumu katika position ya uwaziri

Je atakubali au atakataa, naamini atakubali, naamini atakubali kwa sababu huyu ni mwanajeshi aliyeapa kulitumikia taifa pindi likihitaji huduma yake.

Kwa nini Kabudi hatoshi?. Jibu ni rahisi tu, hana experience ya diplomasia. Ni too theoretical na pia ana jeuri ya Usomi. Diplomacy haitaki mtu kuproject strength zako mbele ya counterparts wako as if unataka uwe on top of them kwa elimu yako, nguvu za uchumi wako, jeshi lako etc, bali diplomacy inataka soft power ulizonazo zijiproject zenyewe huku ukiendelea kufuata protocol za diplomacy.

Rais Magufuli, muombe mzee mwenzako JK umteue ubunge umpe hiyo Wizara akutengenezee diplomasia ya uchumi kwa manufaa ya nchi.

Katika nchi mbalimbali duniani, mtu kuhudumu kwenye nafasi ya juu ya nchi kisha baadae kuhudumu kwenye nafasi za chini siyo jambo la ajabu, Netanyshu, Shimon Peres mara kadhaa wamehudumu kama mawaziri wakuu na pia mawaziri wa kawaida.

Huu utamaduni siyo mbaya kwetu iwapo mtu ana potential ya kulisaidia Taifa katika capacity hiyo
 
Katiba haikatazi kufanya kazi nyingine ya kuteuliwa na rais ndiyo maana wanateuliwa kuwa machancellor wa vyuo n. k
 
Wala siyo kosa kikatiba, na wala siyo kumshushia hadhi, maana kuhudumia nchi katika ngazi yoyote ile ni heshima.

Raisi Kikwete ni mtaalamu wa diplomasia, ana uwezo mkubwa wa kukusaidia kuweka sawa mambo mengi ya diplomasia yetu.

Siyo siri, diplomasia yetu imepwaya sana siku za karibuni. Hata ile vision yetu ya kuifanya diplomasia yetu kuwa ya kiuchumi nayo naona inakwenda arijojo.

Katika nyakati hizi ambazo nchi inahitaji uwekezaji mkubwa na kuongeza watalii na kufungua masoko ya mazao yetu nje ya nchi, tunahitaji mtu mwenye charisma, connections, uzoefu na anayejua priorities za nchi yetu katika malengo ya kutuletea maendeleo.
Tunahitaji mtu presentable ambaye anaweza kuproject calmness, soberness na seriousness katika positions zetu.

Mimi naamini japo Kikwete ameshahudumu kama raisi, lakini katiba haimfungi kuhudumu kama mbunge (wa kuteuliwa) na hatimaye kuhudumu katika position ya uwaziri

Je atakubali au atakataa, naamini atakubali, naamini atakubali kwa sababu huyu ni mwanajeshi aliyeapa kulitumikia taifa pindi likihitaji huduma yake.

Kwa nini Kabudi hatoshi?. Jibu ni rahisi tu, hana experience ya diplomasia. Ni too theoretical na pia ana jeuri ya Usomi. Diplomacy haitaki mtu kuproject strength zako mbele ya counterparts wako as if unataka uwe on top of them kwa elimu yako, nguvu za uchumi wako, jeshi lako etc, bali diplomacy inataka soft power ulizonazo zijiproject zenyewe huku ukiendelea kufuata protocol za diplomacy.

Rais Magufuli, muombe mzee mwenzako JK umteue ubunge umpe hiyo Wizara akutengenezee diplomasia ya uchumi kwa manufaa ya nchi.

Katika nchi mbalimbali duniani, mtu kuhudumu kwenye nafasi ya juu ya nchi kisha baadae kuhudumu kwenye nafasi za chini siyo jambo la ajabu, Netanyshu, Shimon Peres mara kadhaa wamehudumu kama mawaziri wakuu na pia mawaziri wa kawaida.

Huu utamaduni siyo mbaya kwetu iwapo mtu ana potential ya kulisaidia Taifa katika capacity hiyo
Kuna vitu nimepata katika uzi wako, elimu ya darasani wakati fulani hupwaya, uzoefu ni muhimu, mfano tuliwaondoa madereva wasio na vyeti ajali na vifo vya maofisa vikaongezeka.
Note:Katika viongizi uliowasema umemsahau Putin.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala siyo kosa kikatiba, na wala siyo kumshushia hadhi, maana kuhudumia nchi katika ngazi yoyote ile ni heshima.

Raisi Kikwete ni mtaalamu wa diplomasia, ana uwezo mkubwa wa kukusaidia kuweka sawa mambo mengi ya diplomasia yetu.

Siyo siri, diplomasia yetu imepwaya sana siku za karibuni. Hata ile vision yetu ya kuifanya diplomasia yetu kuwa ya kiuchumi nayo naona inakwenda arijojo.

Katika nyakati hizi ambazo nchi inahitaji uwekezaji mkubwa na kuongeza watalii na kufungua masoko ya mazao yetu nje ya nchi, tunahitaji mtu mwenye charisma, connections, uzoefu na anayejua priorities za nchi yetu katika malengo ya kutuletea maendeleo.
Tunahitaji mtu presentable ambaye anaweza kuproject calmness, soberness na seriousness katika positions zetu.

Mimi naamini japo Kikwete ameshahudumu kama raisi, lakini katiba haimfungi kuhudumu kama mbunge (wa kuteuliwa) na hatimaye kuhudumu katika position ya uwaziri

Je atakubali au atakataa, naamini atakubali, naamini atakubali kwa sababu huyu ni mwanajeshi aliyeapa kulitumikia taifa pindi likihitaji huduma yake.

Kwa nini Kabudi hatoshi?. Jibu ni rahisi tu, hana experience ya diplomasia. Ni too theoretical na pia ana jeuri ya Usomi. Diplomacy haitaki mtu kuproject strength zako mbele ya counterparts wako as if unataka uwe on top of them kwa elimu yako, nguvu za uchumi wako, jeshi lako etc, bali diplomacy inataka soft power ulizonazo zijiproject zenyewe huku ukiendelea kufuata protocol za diplomacy.

Rais Magufuli, muombe mzee mwenzako JK umteue ubunge umpe hiyo Wizara akutengenezee diplomasia ya uchumi kwa manufaa ya nchi.

Katika nchi mbalimbali duniani, mtu kuhudumu kwenye nafasi ya juu ya nchi kisha baadae kuhudumu kwenye nafasi za chini siyo jambo la ajabu, Netanyshu, Shimon Peres mara kadhaa wamehudumu kama mawaziri wakuu na pia mawaziri wa kawaida.

Huu utamaduni siyo mbaya kwetu iwapo mtu ana potential ya kulisaidia Taifa katika capacity hiyo
Wazo Bora kabisa 2020, jk awe waziri wa mambo ya ndani, kinana aridi ccm, huyu mwenye macho makubwa arudi kushika chaki
 
Nakuhakikishia Magufuli hawezi kufanya kazi na mtu yeyote mwenye msimamo na anayejielewa, kwa hulka yake ya kidikteta uchwara na ujuaji mwingi anataka makondoo wa "ndio mzee", watu anaoweza kuwapigia simu saa 7 usiku na kuwaporomoshea matusi! mwisho wa siku kwenye serikali yake uwe darasanla saba au uwe profesa hakuna tofauti, wote mnangojea maagizo toka juu.
 
Hapo ni kumrudisha mwanadiplomasia nguli mkurugenzi za zamani wa idara ya Usalama wa Taifa Balozi Dr. Augustine Mahiga.

Kumpeleka Mwanadiplomasia huyu wizara ya katiba ni misuse of resources.

Rudisha kabudi katiba mlete mwenye wizara yake Dr. Mahiga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ni kumrudisha mwanadiplomasia nguli mkurugenzi za zamani wa idara ya Usalama wa Taifa Balozi Dr. Augustine Mahiga.

Kumpeleka Mwanadiplomasia huyu wizara ya katiba ni misuse of resources.

Rudisha kabudi katiba mlete mwenye wizara yake Dr. Mahiga

Sent using Jamii Forums mobile app

Kabudi na arrogance yake ya "kujua sana" inafaa arudi chuo akafundishe watoto wetu, sisi sasa hivi tunahitaji diplomasia makini.

Kule kwenye wizara ya katiba alipeleka muswada wa sheria ya rasilimali, halafu baadae kaongoza majadiliano na kampuni ya barrick yaliyozaa mkataba ulio kinyume kabisa na sheria ileile aliyoitengeneza yeye!

Wakati akiwa Wizara ya katiba alikuwa kinara wa kumletea jeuri mkulima Steyn ili aslipwe haki yake, matokeo yake Steyn katuaibisha sana na it seems tumemlipa huku tukiwa tumeshaaibika.

Wakati wa Kabudi kuna miswada kibao ya kuvunja haki za wananchi kama muswada ule wa vyama vya siasa n. k

Kwa hiyo Kabudi hafai, arudi tu chuoni akawe mwalimu
 
JK amfanye Mshauri wake ma mwakilishi wake kwenye Siasa Mambo ya njee, JK hawezi kuwa waziri, haita pendeza hata kidogo.

Kinana apewe Wizara ya mambo ya njee, hawezi rudi ccm, huko alistaafu. Ama awe mshauri wa siasa za ndani na KM wa CCM awe chini yake.

Mahiga arudi wizara ya njee, January apewe wizara ya ndani. Lowasa Waziri Mkuu PM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala siyo kosa kikatiba, na wala siyo kumshushia hadhi, maana kuhudumia nchi katika ngazi yoyote ile ni heshima.

Raisi Kikwete ni mtaalamu wa diplomasia, ana uwezo mkubwa wa kukusaidia kuweka sawa mambo mengi ya diplomasia yetu.

Siyo siri, diplomasia yetu imepwaya sana siku za karibuni. Hata ile vision yetu ya kuifanya diplomasia yetu kuwa ya kiuchumi nayo naona inakwenda arijojo.

Katika nyakati hizi ambazo nchi inahitaji uwekezaji mkubwa na kuongeza watalii na kufungua masoko ya mazao yetu nje ya nchi, tunahitaji mtu mwenye charisma, connections, uzoefu na anayejua priorities za nchi yetu katika malengo ya kutuletea maendeleo.
Tunahitaji mtu presentable ambaye anaweza kuproject calmness, soberness na seriousness katika positions zetu.

Mimi naamini japo Kikwete ameshahudumu kama raisi, lakini katiba haimfungi kuhudumu kama mbunge (wa kuteuliwa) na hatimaye kuhudumu katika position ya uwaziri

Je atakubali au atakataa, naamini atakubali, naamini atakubali kwa sababu huyu ni mwanajeshi aliyeapa kulitumikia taifa pindi likihitaji huduma yake.

Kwa nini Kabudi hatoshi?. Jibu ni rahisi tu, hana experience ya diplomasia. Ni too theoretical na pia ana jeuri ya Usomi. Diplomacy haitaki mtu kuproject strength zako mbele ya counterparts wako as if unataka uwe on top of them kwa elimu yako, nguvu za uchumi wako, jeshi lako etc, bali diplomacy inataka soft power ulizonazo zijiproject zenyewe huku ukiendelea kufuata protocol za diplomacy.

Rais Magufuli, muombe mzee mwenzako JK umteue ubunge umpe hiyo Wizara akutengenezee diplomasia ya uchumi kwa manufaa ya nchi.

Katika nchi mbalimbali duniani, mtu kuhudumu kwenye nafasi ya juu ya nchi kisha baadae kuhudumu kwenye nafasi za chini siyo jambo la ajabu, Netanyshu, Shimon Peres mara kadhaa wamehudumu kama mawaziri wakuu na pia mawaziri wa kawaida.

Huu utamaduni siyo mbaya kwetu iwapo mtu ana potential ya kulisaidia Taifa katika capacity hiyo
Kwa kadhia hii mwenye uwezo wa kuiokoa serikali na dhahama hii ni Cyprian Musiba tu.

Hahahaaaa
 
Kwa kadhia hii mwenye uwezo wa kuiokoa serikali na dhahama hii ni Cyprian Musiba tu.

Hahahaaaa

Diplomasia yetu ni jambo muhimu sana.
Leo hii tumeivuruga kiasi kwamba ndani ya miaka mitano tu, tumetoka kuwa nchi nyota wa diplomacy Africa nzima na kuishia kuwa nchi ya kupigwa ban watu wetu kuingia kwenye baadhi ya nchi
 
Diplomasia yetu ni jambo muhimu sana.
Leo hii tumeivuruga kiasi kwamba ndani ya miaka mitano tu, tumetoka kuwa nchi nyota wa diplomacy Africa nzima na kuishia kuwa nchi ya kupigwa ban watu wetu kuingia kwenye baadhi ya nchi
Hii awamu ikiendelea miaka kumi hata Kenya watatupiga ban
 
Back
Top Bottom