Nimekutana na huyu kamanda Adrian Mduda ambaye ni mkuu wa Chuo cha magereza kiwira-mbeya ni mtu mwerevu sana,mwadilifu kuliko pia mwenye kujituma sana.
Mheshimiwa Rais Magufuli ukimuona huyu jamaa ukamteua anaweza kukusaidia katika kuijenga Tanzania unayoitamani.
Ni hayo tu Rais nimewasilisha ushauri wangu kwako.
Mheshimiwa Rais Magufuli ukimuona huyu jamaa ukamteua anaweza kukusaidia katika kuijenga Tanzania unayoitamani.
Ni hayo tu Rais nimewasilisha ushauri wangu kwako.