G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Kweli dude la Njombe linakuondoa haya unakuwa unajisemea semea tuuu. Mbarawa emb kapige pafu kadhaa tukusikie na wewe!Leo tarehe 11 April 2019,Akiwa mji wa Makambako mheshimiwa Rais amekiri wazi kuwa hajawahi ona mji Tanzania uliopangwa na kuwa na nyumba bora za Makazi kama Mkoa wa Njombe hasa mji wa Makambako
Ameomba mawaziri wakawaelimisha maeneo wanayotoka sehemu ya kujifunza nyumba bora ni Njombe
Yeye binafsi amekiri mkoa wake na mikoa mingi Tanzania hawaufikii mji wa Makambako
Ameshauri watu wakajifunze mkoa wa Njombe hasa mji wa Makambako
Hongereni Makambako