Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,034
- 15,747
Nitajie mji mmoja tu duniani ambako hakuna hicho unachokiita madanguro
Moshi
Nitajie mji mmoja tu duniani ambako hakuna hicho unachokiita madanguro
Moshi
Nipo Moshi hayo maeneo nayafaham nufaham Mkoa wa Kilimanjaro na Pia naufaham pia Mkoa wa Njombe kutokana na kazi ya field ninayofanyaMkuu unajua maana ya 85%?
Mkoa wa Kilimandjaro makaz ya vijin Ni Bora kwa 85% hakn mkoa wowote wenye kiwango hicho kwasasa
Umezungumzia sijui njia panda ya himo
VP ulifika rombo,hai,siha,Moshi vijijin include kibosho, uru,old Moshi etc?
Mkuu Njombe inanza kujenga Kama sis lkn ukweli n kuwa haiwez kutufkia hata robo
KARIBU KILIMANJAROView attachment 1078310View attachment 1078315
sasa moshi kuna tembemkoa wa njombe naujua vizuri, ki ukweli upande wa makazi wanajitahidi sana, nimezunguka vijiji karibia vyote nyumba ni za matofal ya kuchoma na bati, hakuna nyumba za tembe huko!
Sawa consultant, hapa shout up meen ulikua unamaanisha nini?kiufupi nilichojifunzaga jamii forum ikiletwa maada yoyote kuhusu maendeleo sijui nini na nini maada zote inaishiaga kubaki mchagga anabishana na watu,,na kiufupi makabila mengi kwa tafiti zangu za haraka hawawapendi wachagga...siku zote awali ni awali,,mm nafaya issue za research consultancies,, hii tanzania mpk kule kwa mtengimbole nimefikaga lakn nikisema niyaongee ntaonekana najipendelea kisa ni mchaga,,wacha nibaki na siri zangu mwenyeweee,,ila haina mantiki pambaneni na kazi na mkubali aliowatangulia alitangulia tuu..mmeiga mifano kwa wachaga ndio mnagutuka kwa sasa mnaanza kupambana..ninsawa leo dodoma ni jiji lkn haliwez kuwa km dsm..dar itabaki kuwa dar maana ilitangulia,,so shout up meen,,fanyeni kazi..
Hata Kwa Mpalange pia ...Leo tarehe 11 April 2019,Akiwa mji wa Makambako mheshimiwa Rais amekiri wazi kuwa hajawahi ona mji Tanzania uliopangwa na kuwa na nyumba bora za Makazi kama Mkoa wa Njombe hasa mji wa Makambako
Ameomba mawaziri wakawaelimisha maeneo wanayotoka sehemu ya kujifunza nyumba bora ni Njombe
Yeye binafsi amekiri mkoa wake na mikoa mingi Tanzania hawaufikii mji wa Makambako
Ameshauri watu wakajifunze mkoa wa Njombe hasa mji wa Makambako
Hongereni Makambako
kiufupi kama hujawahi jua mkoa unaoongoza kwa mataahira na vichaa ni nyanda za juu kusini esp. njombe hunidanganyi kokote mpk kidegembye nimekaaa,,hamna kijiji yoyote njombe siijui na kila nikipita vichaa wawili au watatu hapo mafinga na makambako wako wa kumwaga,,uzuri nimesoma mafinga shule siitaji lkn huniambii kitu waking kwa kafara hawajamboWachaga wangekuwa n'a uchawi kusingekuwa n'a maendeleo
Ukinga ndio funga kazi kuna mganga wenu anaitwa maandulami anawapa hela za kudonoa bila kumsahau mwakipande, uchagani uliwahi ona upuuz huo? Bahati nzuri tz yote nimekaa hunidanganyi popote
Sent using Jamii Forums mobile app
kiufupi kama hujawahi jua mkoa unaoongoza kwa mataahira na vichaa ni nyanda za juu kusini esp. njombe hunidanganyi kokote mpk kidegembye nimekaaa,,hamna kijiji yoyote njombe siijui na kila nikipita vichaa wawili au watatu hapo mafinga na makambako wako wa kumwaga,,uzuri nimesoma mafinga shule siitaji lkn huniambii kitu waking kwa kafara hawajambo
Hebu angalieni hapa Ni kwa wakinga eti ndio wajifananishe na matajiri wachaga duh nyie wakinga ma nyambuda yanawasumbua kajengeni kwenu Kwanza ndipo mlete ushamba wenu hapaView attachment 1073456
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwachukie wachaga Ili tufaidike na nini hasa?kiufupi nilichojifunzaga jamii forum ikiletwa maada yoyote kuhusu maendeleo sijui nini na nini maada zote inaishiaga kubaki mchagga anabishana na watu,,na kiufupi makabila mengi kwa tafiti zangu za haraka hawawapendi wachagga...siku zote awali ni awali,,mm nafaya issue za research consultancies,, hii tanzania mpk kule kwa mtengimbole nimefikaga lakn nikisema niyaongee ntaonekana najipendelea kisa ni mchaga,,wacha nibaki na siri zangu mwenyeweee,,ila haina mantiki pambaneni na kazi na mkubali aliowatangulia alitangulia tuu..mmeiga mifano kwa wachaga ndio mnagutuka kwa sasa mnaanza kupambana..ninsawa leo dodoma ni jiji lkn haliwez kuwa km dsm..dar itabaki kuwa dar maana ilitangulia,,so shout up meen,,fanyeni kazi..
Bila image huu Uzi hauna maana😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo tarehe 11 April 2019,Akiwa mji wa Makambako mheshimiwa Rais amekiri wazi kuwa hajawahi ona mji Tanzania uliopangwa na kuwa na nyumba bora za Makazi kama Mkoa wa Njombe hasa mji wa Makambako
Ameomba mawaziri wakawaelimisha maeneo wanayotoka sehemu ya kujifunza nyumba bora ni Njombe
Yeye binafsi amekiri mkoa wake na mikoa mingi Tanzania hawaufikii mji wa Makambako
Ameshauri watu wakajifunze mkoa wa Njombe hasa mji wa Makambako
Hongereni Makambako