Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Kwani hivi ule uchaguzi wa ccm unamjua waliopewa jukumu la kuhesabu kura!? Kura zilipigwa sawa lakini matokeo ilikuwa ni maamuzi ya wakubwa na si wajumbe wa mkutano mkuu.Sikweli mlisema hivyo hatakukabidhiwa chama eti zikipigwa kula siri atakaliwa matokeo YAKE kapata kula zote nyie Wote hamjui mnenalo mwacheni aendeshe nchi siasa zimepitwa na mudawake