Rais Magufuli, Mimi ni Sungura, baki na hao

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,959
48,758
Mtakubaliana na Mimi kuwa rais wetu mwema Dr. Magufuli anakaribia kuvunja record kwa kuwa rais wa Africa aliyeshindwa na kuchokwa mapema zaidi !!

Maraisi wengi wa Africa ushindwa kuendesha nchi ipasavyo kuanzia miaka 2 mpaka 1 kabla ya uchaguzi wa muhula wa pili kwa ofu na presha ya kushindwa uchaguzi unaofuata.

Uhuru Kenyatta amechemsha sana mwishoni mwa utawala wake kabla ya uchaguzi wa muhula wa pili ambao ni miez 17 imebaki kabla ya uchaguzi wa muhula wa pili!!!

Jacob Zuma huyu naye kachemsha vibaya na mwisho wake mahakama imemtia hatiani!!
Rais wa zambia vivyo hivyo na wengine wengi

Ila kwa upande wa maraisi walioshindwa mapema alikuwa Mohammed Morse ambaye alichukua nafasi ya Hussein Mubarak baada ya kukaa madarakani kwa muda mrefu lakin
Morse aliangukia pua baada ya kushindwa kujua njia bora za kuitawala misri!!

Wengine ambaye amechokwa kwa sasa ni rais wa Sudan kusini ndugu Salva Kill Ambaye ameshindwa kuleta muafaka na wapinzani wake hivyo inabidi aondoke au abaki afanye muafaka na wapinzani wake ambapo ni mapigano ni ya kikabila zaidi!!!

Narudi nyumbani!!!!!!
Rais magufuli alianza kushindwa pale tu alipotangaza baraza la mawaziri katika baraza lake kuna baadhi ya mawaziri ni mzigo kwa mjibu wa ccm wenyewe

Mfano
Magembe ni waziri mzigo by kinana na ndo kapewa wizara muhimu kwa ajiri ya kutengeneza pesa katika pato la taifa kupitia utalii.
Yaani unakuta waziri maneno mengi utendaji ziro angalizo magembe ataua sector ya utalii ndani ya mwaka mmoja tuu!!

Sitawataja wote lakini sekita hizi zitegemee maumivu!!
Kilimo kimekwisha
Viwanda ni ndoto
Yaani kama tu waziri wa viwanda amekosa sukari tu atawezaje kuleta mapinduzi ya viwanda??

Utumishi wa umma umekwisha
Hakuna sehemu ambapo wanakurupuka kama hii wizara!!

Wizara ya Sheria ni maumivu kwani katiba yetu pendwa huyu Mwakembe ataizika kwa kutafuta sifa kwa bwana mkubwa na maakama ya mafisadi ni ndoto za mchana kuwaukumu mafisadi wasumbufu wa nchi hii!!!

Wizara ya habari tegemeeni maumivu sana kwa waandishi wazalendo hasahasa watakao taka kuikosoa selikari ya Rais Magufuli!!
Natabiri Ufisadi utakaofanyika ndani ya utawala wa raisi magufuli utazikwa!!

Hivi kweli kama amekubali kuzika Lugumi,Escrow, Richmond, kigoda,buzwagi,melemeta mnategemea bado kuibuliwa kwa kashifa mpya katika utwala huu wa rais wetu mwema ??

Ni ndoto za mchana agekuwa kweli anataka kupambana na ufisadi dawa ni moja tu kufukua makaburi!!!

Kuwaondoa watu wote wanaotuumiwa kwa ufisadi kama Chenge kwenye mfumo wa utawala!!

Sasa kama anayetuumiwa kwa ufisadi leo hii anaongoza bunge ambalo linategemea kutunga sheria ya maakama ya mafisadi??
Arafu unakuja kusema uko serious? unapambana na ufisadi??

Nb : Natabiri

Tegemeeni taarifa za kupika kutoka taasisi zifuatazo!!

CAG Office,
Takukuru,
Tra,
Office ya taifa ya takwimu,
NGO zinazofanya utafiti kama twaweza

Ndo maana nasisitiza huyu ni rais aliyeshindwa kabla ya mwaka mmoja kuisha!! Magufuli umetuangusha watu wameshakata shauli wamechoka.

"Ila ujue Mimi ni sungura baki na hao "!!!
 
Muhimili wa bunge{parliament) na serikali(executive) ni mihimili miwili inayotakiwa kujitegemea, chenge yupo kwenye mhimili wa bunge hivyo rais ambaye ni mkuu wa muhimili wa serikali(excutive) hana mamlaka ya kumtoa chenge kwenye ofisi ya bunge kwa sababu rais hausiki na bunge.
Kama aliweza kumpenyeza naibu sipika anashindwa nini kimuondoa huyu??
 
Muhimili wa bunge{parliament) na serikali(executive) ni mihimili miwili inayotakiwa kujitegemea, chenge yupo kwenye mhimili wa bunge hivyo rais ambaye ni mkuu wa muhimili wa serikali(excutive) hana mamlaka ya kumtoa chenge kwenye ofisi ya bunge kwa sababu rais hausiki na bunge.
Nabashiri kwa mara ya kwanza ripoti ya CAG itakuwa saaafi kabisa katika kila eneo.
 
Umeanza vizuri ila mwisho kabisa unaanza unafiki, unapomshauri Rais aingilie bunge kwa kumchomoa Chenge umejiuliza Chenge kaletwa na nani bungeni? Hii hoja yako inapingana kabisa na wenaodai demokrasia. Hili la Magembe kumbe reference ni Kinana na sio ukweli wenyewe, je unakubaliana na Kinana huyohuyo anayedai waliohama ccm ni makapi na mafisadi? Una uhakika kuwa Richmond, escrow, kigoda= kagoda, buzwagi na melemeta imezikwa na Rais huyu? Umejipa muda kwenye hoja hii na ulitaka kikanuni kashfa hizi zizungumzwe lini na je deadline yake tayar kiasi kwanba haziwezi kujadiliwa tena milele.
Wasaidie Watanzania kuwaambia sera za Rais na deadline zake na mpaka sasa kashindwa kutekeleza kipi kwa mujibu wa ilani yake/ chama chao. Umejipa jukumu la kuwa mtabiri zaid
 
Mtakubaliana na Mimi kuwa rais wetu mwema Dr. Magufuli anakaribia kuvunja record kwa kuwa rais wa Africa aliyeshindwa na kuchokwa mapema zaidi !!

Maraisi wengi wa Africa ushindwa kuendesha nchi ipasavyo kuanzia miaka 2 mpaka 1 kabla ya uchaguzi wa muhula wa pili kwa ofu na presha ya kushindwa uchaguzi unaofuata.

Uhuru Kenyatta amechemsha sana mwishoni mwa utawala wake kabla ya uchaguzi wa muhula wa pili ambao ni miez 17 imebaki kabla ya uchaguzi wa muhula wa pili!!!

Jacob Zuma huyu naye kachemsha vibaya na mwisho wake mahakama imemtia hatiani!!

Rais wa zambia vivyo hivyo na wengine wengi

Ila kwa upande wa maraisi walioshindwa mapema alikuwa Mohammed Morse ambaye alichukua nafasi ya Hussein Mubarak baada ya kukaa madarakani kwa muda mrefu lakin
Morse aliangukia pua baada ya kushindwa kujua njia bora za kuitawala misri!!

Wengine ambaye amechokwa kwa sasa ni rais wa Sudan kusini ndugu Salva Kill
Ambaye ameshindwa kuleta muafaka na wapinzani wake hivyo inabidi aondoke au abaki afanye muafaka na wapinzani wake ambapo ni mapigano ni ya kikabila zaidi!!!

Narudi nyumbani!!!!!!

Rais magufuli alianza kushindwa pale tu alipotangaza baraza la mawaziri katika baraza lake kuna baadhi ya mawaziri ni mzigo kwa mjibu wa ccm wenyewe

Mfano

Magembe ni waziri mzigo by kinana na ndo kapewa wizara muhimu kwa ajiri ya kutengeneza pesa katika pato la taifa kupitia utalii.

Yaani unakuta waziri maneno mengi utendaji ziro angalizo magembe ataua sector ya utalii ndani ya mwaka mmoja tuu!!

Sitawataja wote lakini sekita hizi zitegemee maumivu!!

Kilimo kimekwisha

Viwanda ni ndoto
Yaani kama tu waziri wa viwanda amekosa sukari tu atawezaje kuleta mapinduzi ya viwanda??

Utumishi wa umma umekwisha
Hakuna sehemu ambapo wanakurupuka kama hii wizara!!

Wizara ya Sheria ni maumivu kwani katiba yetu pendwa huyu Mwakembe ataizika kwa kutafuta sifa kwa bwana mkubwa na maakama ya mafisadi ni ndoto za mchana kuwaukumu mafisadi wasumbufu wa nchi hii!!!

Wizara ya habari tegemeeni maumivu sana kwa waandishi wazarendo hasahasa watakao taka kuikosoa selikari ya Rais Magufuli!!

Natabiri Ufisadi utakaofanyika ndani ya utawala wa raisi magufuli utazikwa!!

Hivi kweli kama amekubali kuzika Lugumi,Escrow, Richmond, kigoda,buzwagi,melemeta mnategemea bado kuibuliwa kwa kashifa mpya katika utwala huu wa rais wetu mwema ??

Ni ndoto za mchana agekuwa kweli anataka kupambana na ufisadi dawa ni moja tu kufukua makaburi!!!

Kuwaondoa watu wote wanaotuumiwa kwa ufisadi kama Chenge kwenye mfumo wa utawala!!

Sasa kama anayetuumiwa kwa ufisadi leo hii anaongoza bunge ambalo linategemea kutunga sheria ya maakama ya mafisadi??
Arafu unakuja kusema uko silius unapambana na ufisadi??

Nb ;Natabiri
Tegemeeni taarifa za kupika kutoka taasisi zifuatazo!!

CAG Office,
Takukuru,
TRA,
Office ya taifa ya takwimu,
NGO zinazofanya utafiti kama twaweza

Ndo maana nasistiza huyu ni rais aliyeshindwa kabla ya mwaka mmoja kuisha!! Magufuli umetuangusha watu wameshakata shauli!!

"Ila ujue Mimi ni sungula baki na hao "!!!


Hivi kwanini huwa mnakosoa tu hamwoneshi namna ya kutatua hayo makosa?.............Ungempaa ushauri ni mawaziri gani wangefaa badala ya hao aliowachagua ambao unaona hawafai.
 
Muhimili wa bunge{parliament) na serikali(executive) ni mihimili miwili inayotakiwa kujitegemea, chenge yupo kwenye mhimili wa bunge hivyo rais ambaye ni mkuu wa muhimili wa serikali(excutive) hana mamlaka ya kumtoa chenge kwenye ofisi ya bunge kwa sababu rais hausiki na bunge.
Kama kapandikiza wa kupandikiza ni nini kinamzuia kumng'oa nyoka wa makengeza kwa kutumia mipango ileile
 
mlisema LOWASA na chenge ndo mafisadi ya nchi hii kila mlipo simama mlikuwa lazma mtaje LOWASA na chenge kama Icon ya umaskin ndani ya taifa hili sababu ya ufisadi
baada ya LOWASA kuondoka ccm na kujiunga na upinzani leo kabaki chenge peke yake mnazidi kumsakama peke yake ili nae aje kujiunga na Chadema harafu mseme ametubu
 
Kama kapandikiza wa kupandikiza ni nini kinamzuia kumng'oa nyoka wa makengeza kwa kutumia mipango ileile
Hiyo mipango unahisi deadline yake ilikuwa lini? Je kama unahisi kulikuwa na mipango ya kumuweka mtu fulani kwanini usiendelee kuhisi kuwa kuna mipango ya kumuondoa fulani?
 
Hivi kwanini vijana wengi walioko ccm au katika mfumo wa utawala wanakua wagumu kung'amua mambo!?unakuja kijana kavaa kaxhomekea kapendeza,Jaribu kumuongelesha sasa ana ongea pumba ujawai kusikia,wengine wamepata bahati wametoka vijijin kwao huko wamekuja mjini bas wanajifanya wao ndo ccm na ccm ndo wao,wadogo zao funza wanawamaliza,hakina vitabu mashuleni,walimu hakuna,wazazi wao kutwa mashambani na wanachokilima hakionekani,kikionekana kinanunuliwa shambani kwa bei za hasara..huko mjini kuna juha moja linaacha kutetea maslai ya jamii yake kwa ujumla linaangalia tumbo lake...pathetic!!
 
mlisema LOWASA na chenge ndo mafisadi ya nchi hii kila mlipo simama mlikuwa lazma mtaje LOWASA na chenge kama Icon ya umaskin ndani ya taifa hili sababu ya ufisadi
baada ya LOWASA kuondoka ccm na kujiunga na upinzani leo kabaki chenge peke yake mnazidi kumsakama peke yake ili nae aje kujiunga na Chadema harafu mseme ametubu
Mkuu mi kwangu sijawai kumsafisha lowassa wala sumaye fatilia hata post zangu kwangu Mimi lowassa sumaye change mkapa kikwete ni mafisadi tuu itabaki hivyo mpaka naenda kabulini!!
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom