Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Kwanza mkuu mzilankende sio kabila au ukoo. ..Ukija mfano kwa Wahaya kama kabila wana koo na koo hizo zinautamburisho wake ambao mara nyingi ni wanyama,ndege,wadudu au mema yaani mti ambazo uitwa Omuzilo...Mfano Abayango na Abahinda ambao kwa kiasi kikubwa ndio koo za kifalme wao utamburisho wao ni huyo mnyama ngedere...Nkende,kuna Abatundu wao utamburisho wao ni chui, Abajubu wao utamburisho wao ni Kiboko,Abalwani nk...sasa huyu anayesema ni kabila la mzilankende sijui Muyango wa kisukuma basi nae atakua ameanzisha labda nanili. ...Au kwakua nchi nyingi zinaongozwa na wasio wazawaAngalau sasa ninapata picha kwa mbali kwa nini Wasukuma wanalalamika sana anapojinasibu kwamba ni msukuma. Sasa ukweli umejulikana. MHESHIMIWA RAISI SIYO MSUKUMA. Tunaze kutafuta makabila ya huko Bukoba kama ni Mzilankdende, ama Muyango.
Tusonge mbele, ila uskumani HAPANA. TUWAACHE WASUKUMA WA WATU WASIOKUWA NA MAKUU SALAMA SASA.