sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,014
- 8,368
hamjambo, wadau?
kupitia hapa jukwaani namshukuru mkuu wa kaya kwa kumfuta machozi ndugu yangu DAM MBAYA, naomba hasimsahau, yule kijana hata kama ni kambi ya KAMILIUS, hampe shavu jamani maana sjamuona popote wala simskiiii, kabsa, jamani kijana mwenzangu. mkereketwa wa CCM
au Vetting yake imeleta majibu hasi?
kupitia hapa jukwaani namshukuru mkuu wa kaya kwa kumfuta machozi ndugu yangu DAM MBAYA, naomba hasimsahau, yule kijana hata kama ni kambi ya KAMILIUS, hampe shavu jamani maana sjamuona popote wala simskiiii, kabsa, jamani kijana mwenzangu. mkereketwa wa CCM
au Vetting yake imeleta majibu hasi?