Kingeke Mavoya
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 619
- 593
kwahyo nayeye alinyimwa wakili au umesahau madaUmeshawahi kusingiziwa kesi hata ya KUBAKA tu ndugu yangu??Kama bado basi acha mara moja kushabikia upuuzi uliozungumzwa.
Kamuulize yule MFUNGWA aliyeswekwa ndani,kwa tuhuma za KUBAKA ambapo hadi leo hakuna anayeujua ukweli