Rais Magufuli: Mawakili wanaowatetea wahalifu waliokutwa na ushahidi nao wawekwe rumande ili wakome

Nani wakudhibitisha kua huyo mtu ni mhalifu
Mwanasheria hawezi kumsaidia mteja wake mpaka kwanza yule mteja aeleze ukweli wote. Baada ya hapo huyu wakili anaanza kutafuta njia ya kuficha huo ukweli. Namuunga mkono mkulu washikishwe adabu kwa kutaka kuficha ukweli na kuzuia haki isitendeke.
 
"He is unqualified for the office of presindence" Balac Obama.
Akimuelezea Donad Tr
Twaafwaaaaaaa
 
kuna siku utaamka asubuhi, kutoka nje ya nyumba yako unakuta kichwa cha twiga, wakati unaendelea kushangaa ni nini kinatokea, watatokea polisi karibu na nyumba yako na kukufungulia kesi isiyo na dhamana pamoja na mateso makali. Baada ya hapo itokee usipewe muda wa kujitetea wala wakili wala kusikilizwa (kwa hoja ya kuwa umekamatwa red handed) hapo ndipo utakapojua kwamba pamoja na kuwa unajua, ila walikuwepo na wapo wajuzi zaidi na dunia hadaa walimwengu shujaa, usitukane wakunga na kila aina ya methali.
Kabisa mkuu! Wako wafurahiao ila hawajui!.
 
Rais John Magufuli aliyaongea hayo jana alipokuwa akiongea kwenye sherehe za uzinduzi wa mwaka mpya wa sheria, alisema kuna watu wanakutwa na ushahidi wa wazi kabisa lakini kuna mawakili wanaoenda kuwatetea, mawakili hao wanatakiwa kuwekwa rumande waonje joto ili hata wakitoka wajifunze kutokutetea wahalifu...



Hivi huyu jamaa ni mzima kabisa??? Mungu tusaidie hii miaka mitano iishe salama nadhani watanzania wamechagua mti badala ya mtu. Uwakilishi kisheria ni haki ya mtu sababu mtu hata kama ameshikwa na kidhibiti bado ni innocent until proven guilty sijui huyu msomi wa kemikali analijua hilo??? Naadha kumuunga mkono Ben Saanane hiyo degree yake nadhani aliipata kama ya Mrema.
 
Hivi Mh JPM huwa ana shirikisha akili , busara akitaka kuongea jambo? Au? Is he normal muda wote au kuna wakati anapotea kidogo kichwa kinaenda kwao? Kuna walakini sehemu
Hana huo uwezo, huyu ni mfuga ng'ombe alitakiwa kuendeleo kufuga ng'ombe angekuwa mlimaji mzuri wa mashamba kule Goba kama yule msukuma wangu wa shamba. Ndiyo maana alishurutishwa kuisoma ile hotuba Ethiopia angetuaibisha kama angeaachwa achomekee akama alivyozoea. Hili ni BOYA zaidi ya mzee Mwinyi na Sumaye.
 
Hivi huyu jamaa ni mzima kabisa??? Mungu tusaidie hii miaka mitano iishe salama nadhani watanzania wamechagua mti badala ya mtu. Uwakilishi kisheria ni haki ya mtu sababu mtu hata kama ameshikwa na kidhibiti bado ni innocent until proven guilty sijui huyu msomi wa kemikali analijua hilo??? Naadha kumuunga mkono Ben Saanane hiyo degree yake nadhani aliipata kama ya Mrema.
mkuu hayo yotee unayoyasema shida ni moja tu serikali haina mawakili nguli kupangua hoja hivyo raisi ameamua kuwasaidia kuingia kingi aibu ya aina yake ni mahakama tu ndio itamtia mtu hatiani na si matamko ya mtu kulazimisha.
 
Huyu jamaa amelewa madaraka, sijui kama anafahamu utawala bora au utawala wa sheria
hivi wewe kweli tuache siasa kimfano umevamiwa ukaibiwa ukavunjwa mguu na jambazi halafu ukamshtaki akatokea wakili anatetea kua niuongo hujavamiwa na anataka huyo jambazi aachiwe je wewe unashauri huyu wakili afanyweje maana sheria inasema kutoa ushahidi wauongo mahakamani nikosa
 
Wapingaji wengi humu ni mawakili na lawyers...... chief ndo ashatamka..... we jichanganye na school of law yako uone... km ibara zitakusaidia au lah...


Acha upumbavu we mpingaji....
Fuata maelekezo ulee familia ako....
We nani katika hii Nchi.
laiti ungejua kwa wanasheria, kauli ya huyu jamaa haina mashiko na haina nguvu yeyote kwetu, tunaipuuza ni kama tumekutana na layman mtaani anaongea asivyovijua huwa hatutilii maanani. huyo ni rais wenu, sio rais wa wanasheria, hata rais wa wanasheria mwenyewe hawamiliki wanasheria. vilevile, uwakili ni biashara, hatujaajiriwa na huyo rais wenu, tunavyo vyeti vya darasani tumejiajiri kwa elimu yetu na tunalipa kodi, hivyo hana popote anapoweza kutunasa zaidi sana tutamwaibisha tu. hana uwezo huo kutuamulia mambo wanasheria na hatakuja kupata uwezo huo milele. however, ni aibu hata ukitoka nje ya nchi kujiita mtz kwa kuwa unatoka kwa rais anayeongea kauli kama hiyo, ni aibu kubwa sana, nadhani jamaa anahitaji washauri na akipewa ushauri aufuate, akiendelea kuongea tu hivi anajianika mambo mengi sana ambayo tulikuwa hatujamjua vizuri.
 
laiti ungejua kwa wanasheria, kauli ya huyu jamaa haina mashiko na haina nguvu yeyote kwetu, tunaipuuza ni kama tumekutana na layman mtaani anaongea asivyovijua huwa hatutilii maanani. huyo ni rais wenu, sio rais wa wanasheria, hata rais wa wanasheria mwenyewe hawamiliki wanasheria. vilevile, uwakili ni biashara, hatujaajiriwa na huyo rais wenu, tunavyo vyeti vya darasani tumejiajiri kwa elimu yetu na tunalipa kodi, hivyo hana popote anapoweza kutunasa zaidi sana tutamwaibisha tu. hana uwezo huo kutuamulia mambo wanasheria na hatakuja kupata uwezo huo milele. however, ni aibu hata ukitoka nje ya nchi kujiita mtz kwa kuwa unatoka kwa rais anayeongea kauli kama hiyo, ni aibu kubwa sana, nadhani jamaa anahitaji washauri na akipewa ushauri aufuate, akiendelea kuongea tu hivi anajianika mambo mengi sana ambayo tulikuwa hatujamjua vizuri.
"Rais wenu" fuata iyo kauli.....

Hakuna mwanasheria anaeilewa sheria afu akaandika kama wewe...

pitia usome ulichoandika afu andika upya braza....

Km kwel ni mwanasheria najua unajua mandate ya rais kikatiba....
 
"Rais wenu" fuata iyo kauli.....

Hakuna mwanasheria anaeilewa sheria afu akaandika kama wewe...

pitia usome ulichoandika afu andika upya braza....

Km kwel ni mwanasheria najua unajua mandate ya rais kikatiba....
kuna faida gani kujivunia kiongozi aliyetoa kauli kama ile ya jana? one can denounce him anytime. sijivunii kabisa kuwa na rais kama huyo.
 
Duuh!!

Muda si mrefu madaktari nao wataambiwa wasitoe tiba kwa wahalifu waliojeruhiwa, madereva wazembe waliopata ajali ili nao wajifie...
 
kuna faida gani kujivunia kiongozi aliyetoa kauli kama ile ya jana? one can denounce him anytime. sijivunii kabisa kuwa na rais kama huyo.
hivi ukitoka nje ya nchi wakakuuliza kama kweli rais wako alitoa kauli kama hiyo, mbona nitapambana sana kubisha kwamba hajawahi kutoa kauli hiyo. unfortunately, clip zimeshajaa youtube dunia nzima inamtafakari kama ana uelewa wa system ya utoaji haki hapa duniani...au hata namna mahakama zake tu zinavyoendeshwa ili kupata haki.
 
Back
Top Bottom